Msingi bora wa Amani ni Haki! Kama viongozi mnahubiri amani katika nchi yetu tambueni wananchi wanataka haki kwanza kwenye Taifa ndio Amani iendelee kuwepo.
Lakini mkilazimisha amani tuuuuu, bila Haki mtakuwa kama mbuzi kumpigia gitaaa
==============
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel...