Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert John Chalamila amewataka Wananchi kuwa na Uvumilivu kidogo kwani tayari Serikali iko kwenye hatua za mwisho, za Utatuzi wa Changamoto ya upungufu wa Mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi).
Chalamila amesema serikali inatambua changamoto hiyo na tayari...