Watu watano wakiwemo Raia watatu wa Kigeni wa nchi za Kenya na Italy Watumishi wa Mashirika ya Kanisa Katoliki, wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa, baada ya gari dogo Toyota Land Cruiser namba T 852 DGP, mali ya Shule ya Sekondari ya Wasichana Bukumbi waliyokuwa wakisafiria, kugongana uso kwa...