Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi wa ajali ya magari mawili kugongana na kuwaka moto na kusababisha vifo na majeruhi.
Tukio hilo limetokea December 31, 2025 jioni huko eneo la kijiji cha Maseyu, kata ya Gwata, Wilaya ya Morogoro ambapo gari T.162 DMD aina ya Mitsubishi Fuso kampuni ya Bill...