aibu stendi arusha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 Paul Makonda: Ni aibu Arusha kutokuwa na Stendi, haina faida uwe kiongozi halafu hakuna alama uliyoacha

    Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM, Paul Makonda amesema kuwa ni aibu kubwa kwa jiji kubwa kama Arusha kutokuwa na stendi ya kisasa. Amesisitiza kuwa jambo hilo linapaswa kushughulikiwa haraka ili kuboresha usafiri na hadhi ya jiji. “Arusha ni lango la utalii wa Tanzania, haiwezekani...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…