Wakuu,
Nakumbuka baada ya School Of Journalism and Mass Communication pale UDSM kupata dean mpya mwaka 2023 kama sio 2024 moja ya vitu vya kwanza ambavyo yule mama mpya alifanya ni kubadilisha mazingira
Nakumbuka SJMC ilipakwa rangi, mabango mapya kila sehemu na hata kulikuwa na marekebisho...