Economic Hitmans: tunapaswa kufahamu ni watu wanaolipwa Fedha nyingi sana ili kushawishi Nchi maskini Kukubali miradi inayoleta maendeleo machoni kwa watu lakini Kudumiza maendeleo ya Nchi Nzima... zaidi hufanywa katika nchi za Africa, Je mashirika Hayo, yataitaji Serekali itayoweza kupinga njia...