Watu ambao waliniandikia wengi nimewajibu na wale ambao bado nitaendelea kuwajibu kadiri muda unavyoruhusu. Pia kwa wale ambao hawafuatilia nawakaribisha waweze kufuatilia na kuniandikia pia
Napenda kukuambia unaweza kuepukana na tatizo la kiafya au kuimarisha afya yako kwa kupata tu lishe nzuri iliyoandaliwa kiasilia na kupitishwa na mamlaka ya chakula na dawa na pia kimataifa.
Hapa ni orodha ya baadhi ya magonjwa ambayo yalishadhibitiwa kutokana na lishe.
1. PRESSURE YA KUPANDA...
FOREVER BRIGHT TOOTH GEL
Bidhaa ya kusafisha meno iliyotengenezwa kutokana na stabilized Aloe Vera Gel pamoja na bee propolis hivyo huua bacteria na vijidudu vyote. Inangarisha meno bila kuchuna tabaka la juu la meno-ENAMEL. Huzuia meno yasitoe damu, kuponya vidonda vya mdomoni na endapo...
Je hilo jino limefikia hatua ya kung'oa kama unavyozungumzia? Siyo kwamba jino likiuma dawa yake ni kung'oa. Jino linaweza kuuma lakini likawa halijafikia hatua mbaya ya kung'oa. Amcheki Daktari kwanza na ikiwa halikufikia hatua ya kung'oa basi unipe taarifa sbb wapo wengi wanaolalamika kuhusu...
Je ni makalio tu au hata na mwili ni manyama uzembe? kama ndiyo nikushauri namna ya kupunguza uzito na manyama uzembe ambayo hayahitajiki badala yake yanakusababishia matatizo na uzee. healthwealthfirst@gmail.com
ukishindwa kabisa kutatua tatizo uniandikie sbb kuna watu ambao walikuwa na tatizo kama la kwako na nimewaelekeza product muhimu za kutumia na wapo fresh kwa sasa wakishukuru. healthwealthfirst@gmail.com
Ni bidhaa nzuri sana yenye vitamin C, D3,K2,B6,B12,Folate, L-Arginine,sugars
Husaidia katika mzunguko mzuri wa damu, ukuaji mzuri wa misuli,ukuaji na urekebishaji mzuri wa mifupa na tishu za mwili.
Husaidia kwa kiwango kikubwa ukuaji na ufanisi wa nguvu za kiume.
Husaidia umeng'enyaji mzuri wa...
FOREVER FREEDOM
Ni kinywaji chenye Aloe vera, Glucosamine Sulphate, chondroitin sulphate, methylsulphonyl methane, vitamin C, vitamin E. Zinasaidia kulainisha viungo ili kuzuia maumivu ya kusuguana kwa mifupa katika viungio, tatizo linalosumbua wanawake wengi wenye umri mkubwa kwa kuwa mwili...
ALOE VERA GEL
Kinywaji hiki cha asili kinasaidia kuondoa sumu, kusafisha na kusaidia mmengenyo wa chakula, kuondoa vimbe, kuponya vidonda na kusaidia uponyaji wa maradhi kama arthritis, kisukari, vidonda vya tumbo,kukuongezea nguvu, kupunguza aleji mwilini na mengine mengi. Ina virutubisho kama...
Vidonge siyo kuwa inaanisha ndiyo dawa. Naona hapo ndiyo panapokuletea tabu. Hiyo ni lishe ambayo imetolewa katika mfumo wa tembe tu. Mtu anaweza akala sahani ya chakula na asipate hata 1/16 ya kinachotakiwa mwilini.
Siyo kuwa watu hawali chakula bali wanakula lakini hawana uelewa mzuri wa vyakula. Mfano huo ugali wengi wanakula sembe jambo ni dogo sana kulielewa kuwa siyo sahihi. Vyakula tunavyokula vingi havina vile viasilia vinavyohitajika mwilini sbb ya madhara mengi yatokanayo na uharibifu wa mazingira pia.
Calcium inapatikana kutokana na baadhi ya vyakula lakini ni wangapi wana uelewa mzuri na pia vyakula tunavyokula vinakuwa vimeandaliwa katika mazingira gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.