Search results

  1. Albert Magesa

    Nikilalia ubavu wa kushoto nahisi maumivu

    Ninapolala hasa nikilalia upande wa ubavu wa kushoto nahisi maumivu sehemu ya Kati ya mbavu na tumbo. Mgongoni hasa maeneo ya kiuno huuma nanapokaa muda mrefu au kuonana Napata haha kubwa ngumu. Je, ni dalili ya ugonjwa gani?
Back
Top Bottom