Search results

  1. I

    Nawezaje kutibu shida ya kibamia

    Yeah kweli kabisa, kitu nilichojifunza ni kutomcheka wala kumkebehi mtu yeyote anayepitia hali flani inayoonekana sio ya kawaida,na kitaalamu zaidi kama unashida yoyote jikaze jitie moyo nenda hospitalini kwa ushauri wa kidaktari
  2. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Amini kwamba, Mimi nishasikia Mtu aliyejinyonga na sababu kuu ilikua hili hili tatizo ambalo watu wanalifanyia mzaha hapa
  3. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Umesema ukweli,ila hapo kwenye kupambana ikue hamna uwezekano huo ,,yeye atafute peace of mind aishi
  4. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Hapana ukweli uwe ukweli maumbile madogo yapo na makubwa yapo pia.
  5. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Umesema sahihi kabisa,, mwambie Huyo mwenzi wako kama atakubaliana na wewe ishi nae akikataa basi ndo maisha yenyewe haya
  6. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Hapana you wrong ,money doesn't solve everything we who are poor believe so but it isn't the case always, search ehud arye laniado
  7. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Search Ehud Arye Laniado utajua Huyo upasuaji huwaga unacomplications kiasi gani
  8. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Hamna kitu ,, ongeza urefu wa kimo basi kama wewe una futi 5 7" ongeza uwe futi sita, afu unapiga na biti kabisa eti kama hujui tulia
  9. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Umenena ukweli mtupu,,that's it ,kama ni hela tafuta kwa manufaa yako ,kwa kua maisha yako yashakua hivyo ukimpata ataekupenda hivyo ulivyo sawa usipompata basi,
  10. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Of course hamna dawa , watu wanachukua ile hali ya desperation kama fursa ya kupiga hela!
  11. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Unadhani Huyu alieandika hapa hana kazi!?
  12. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Ni hali ya maisha tu.
  13. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Hela ni hela, na maumbile ya binadamu yanabaki palepale usidanganyike
  14. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Ndo ukweli mchungu,Ila haina budi maisha kusonga,ukweli ni kwamba hamna tiba wala cha mini,ni kukubaliana na hali ili upate amani ya moyo maisha yasonge!
  15. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Hela sio sululisho kwenye hili jambo,huyu mtoa mada hakutaka malaya kama angetaka Malaya angeenda walipo!
  16. I

    Nina maumbile madogo ya uume

    Ni ishu serious kweli,, na ukweli ni kwamba hakuna tuba yoyote,ifundishe akili yako ikubali huo ukweli, kubaliana na hali, ishi maisha yako mwenyewe kuepusha dharau na fedheha!
  17. I

    Nawezaje kutibu shida ya kibamia

    Hamna cha kuoa bikra wala nini, siku ikitokea Huyo mkeo akacheat lazima akuache,hapo ndipo watu inabidi wajue sio kila MTU lazima aoe au kuolewa wengine ni kujisumbua tu,,hamna mizizi wala mini itakayokusaidia,,yani hio dawa ikaongeze sehemu moja tu ya mwili,mikono isiongezeke miguu isiongezeke...
  18. I

    Nawezaje kutibu shida ya kibamia

    Hanna dawa! Msijazane ujinga
  19. I

    Nawezaje kutibu shida ya kibamia

    Dawa hamna usidanganye watu, wapo watu waliotayari kulipa in thousands $$ kama Huyo dawa ingekuepo
Back
Top Bottom