Kama mada inavyojieleza...hivi mtu mwenye premature ejaculation anaweza kumpa mwanamke ujauzito??....na je kama ni kweli huyo mtoto atakayezaliwa hatakuwa na mapungufu??... MziziMkavu na wataalamu wengine wa jukwaa nawasilisha kwenu
Habari zenu wakuu,nilikuwa naomba mnisaidie mawazo yenu ili kujua kama hivi navyofanya ni sahihi au natwanga maji kwenye kinu..??....
Ni hivi,tangu niko darasa la 6 nilianza kujihusisha na kujichua yaani masturbation,ilifikia kipindi nikawa addicted,mpaka kufikia kidato cha kwanza nilishaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.