Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hii ni kauli tunaisubiri mwaka 2035 toka kwa moja ya viongozi wa nchi hii. Imekuwa kawaida kukumbuka makosa wakati kumesha kucha. Rais mkapa aliwahi kukiri kwamba alifanya makosa kubinafisha...
1 Reactions
1 Replies
23 Views
Sijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
47 Reactions
133 Replies
3K Views
Mkutano wa CHADEMA wa Singida Magharibi ulioongozwa na Tundu Lissu umefana Lissu amewataka wananchi kufanya mabadiliko kwenye serikali za mitaa ili kuondoa Migogoro Naye John Pambalu ameitaka...
4 Reactions
17 Replies
693 Views
Kwanza nawapa salamu, nazingatia itifaki/ Nadhani Mvumbo mnamfahamu, kwenye mistari mimi ndiye chaki/ Naandika zaidi ya kalamu, mwana Hip hop kindaki ndaki/ Ma mc's wa Jamii Forums, karibuni nyuma...
25 Reactions
674 Replies
76K Views
Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja...
20 Reactions
51 Replies
1K Views
Samia alipoingia madarakani alionesha kukerwa na udictator wa jpm wa kukataza siasa za upinzani ispokuwa siasa zibaki zinafanywa na ccm tu. Hapo tukaona mikutano yote ilizimwa. Samia akasema no...
1 Reactions
9 Replies
123 Views
YouTube blogger amekuwa anawauliza raia wa Nigeria swali,kwamba kama inatokea fursa ya kupewa Uraia wa kudumu wa Tanzania au Kenya,watapenda kuishi Nchi gani? Jibu la wengi ni kwamba Watachagua...
2 Reactions
123 Replies
2K Views
Yalionikuta Sina hamu na nyie wanaume, Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo...
9 Reactions
53 Replies
1K Views
MO AREJEA KITINI SIMBA SC Mfanyabiashara Mohamed Dewji ametangaza kurejea kwenye nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba kufuatia ombi la Salim Abdallah Try Again aliyejiuzulu nafasi...
1 Reactions
22 Replies
405 Views
Yaani hata kile cha kuombea maji au kusalimiana au kujitambulisha tu kwa walugha wenzio. Haya ni matokeo ya fikra na falsafa chanya ya Baba wa Taifa Mwl. Julius K. Nyerere katika kupiga vita na...
0 Reactions
7 Replies
88 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,495
Posts
49,858,862
Back
Top Bottom