Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali...
0 Reactions
7 Replies
78 Views
Mpenzi nilienae Kila siku ana matatizo jamani Kila siku yeye hasara yeye, kikosa ajira yeye. Kila siku ananipa habari mbaya nahisi ana mikosi na najikuta Mimi ndo naumizwa na matatizo yake...
1 Reactions
12 Replies
181 Views
Habari wakuu, nauza jiko langu hapa(used) linatumia umeme na Gas( Plate mbili umeme na mbili zingine Gas) bado liko sawa sana. Bei Tzs 200k ( Laki mbili) Location-IRINGA. 0747518207
0 Reactions
4 Replies
197 Views
Mamlaka na Polisi endeleeni tu Kumficha tu huyu RC aliyelawiti Mwanafunzi wa Chuo huko Kanda ya Ziwa ila tutamjua tu kwa mabadiliko mafupi ya Dharula ya Mkuu wa Mikoa yajayo.
0 Reactions
3 Replies
74 Views
Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini. Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul...
3 Reactions
91 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,mama wa shoka , shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, nyota ya...
0 Reactions
38 Replies
334 Views
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) inawatangazia taarifa ya maamuzi ya Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini kuhusu nauli za abiria wa daraja la kawaida kwa Treni ya...
5 Reactions
77 Replies
2K Views
Jana, habari zilisambaa kwamba ndege ya Makamu Rais wa Malawi Saulos Chilima ilipotea wakati wa safari kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu (Lilongwe) kwenda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa...
8 Reactions
29 Replies
1K Views
David Kafulila, Mkurugenzi wa PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya kwa kifupi Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio...
31 Reactions
265 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,085
Posts
49,849,083
Back
Top Bottom