Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ufike wakati makampuni ya Ving'amuzi wafanye utafiti kwenye biashara zao, kwanini watazamaji wa Televisheni wanapungua? Huwa najiuliza mbona baadhi ya makampuni yanayotoa huduma za Internet...
2 Reactions
10 Replies
189 Views
Wanaukumbi. ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ง Hapo jana Israel walisema wanaelekea kwenye uamuzi wa kuivamia Lebanon, leo Hezbollah wamerusha roketi kwenye kituo chao na kuua na kujeruhi makumi ya wanajeshi. Wakati huo...
3 Reactions
66 Replies
2K Views
1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine. 2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani...
21 Reactions
78 Replies
758 Views
Salaam, Shalom!! Kila Kona ya nchi yetu Kwa sasa, dollar imekuwa mtihani, hazipatikani hata Kwa tochi, Mfanyabiashara mwenye pesa za kitanzania, akienda benki kubadili Tshs Ili apewe USD Kwa...
1 Reactions
9 Replies
50 Views
... ๐Ÿ—ฃ๏ธ ๐—•๐—”๐—•๐—ฅ๐—” - ๐—ช๐—”๐—ง๐—จ ๐—ช๐—”๐— ๐—˜๐—Ÿ๐—œ๐—ฃ๐—ช๐—” ๐—ฃ๐—˜๐—ฆ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—˜๐—ก๐—š๐—˜๐—ก๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐—ฃ๐—”๐—š๐—”๐—ก๐——๐—”. "Propaganda zilizofadhiliwa zimefikia hatua ya kuchukiza sana kama vita za kisiasa. Kwani hatuwezi kuona kikamilifu nyuma ya hii...
2 Reactions
4 Replies
260 Views
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao. Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule? Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee...
40 Reactions
146 Replies
6K Views
Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo. Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango...
11 Reactions
185 Replies
3K Views
Erik Prince, afisa wa zamani wa Jeshi la Wanamaji la Marekani na mwanzilishi wa kampuni ya binafsi ya kijeshi ya 'Blackwater', hivi karibuni alitoa maoni yake kwamba nchi za Kiafrika zinapaswa...
1 Reactions
18 Replies
217 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa Wafuatiliaji wa siasa za Nchi hii mtakubaliani nami kuwa Mheshimiwa David Kafulila pamoja na Mheshimiwa Zitto Kabwe ndio watu Pekee waliokuwa wanaubeba Upinzani hasa...
0 Reactions
3 Replies
25 Views
Watu mliosoma Sociology Tafiti zinaonesha nyie ni watu wa kurizika sana ndo maana PhD ni chache mno za Sociology with philosophy. Nchi inahitaji kuongozwa na wanasosholojia matokeo yake mnaacha...
3 Reactions
3 Replies
58 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,287
Posts
49,825,126
Back
Top Bottom