Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa...
7 Reactions
70 Replies
2K Views
  • Suggestion
Michezo, Sanaa na utamaduni ni ajira, burudani, biashara na utambulisho wa Taifa. Sekta ya michezo, sanaa na utamaduni ni sekta muhimu kiuchumi katika nchi zilizoendelea kwa mfano nchini...
1 Reactions
2 Replies
27 Views
Kweli Dar es Salaam imejaa vituko, vitimbi na watu wenye matatizo ya akili. Hivi inawezekanaje mwanamke uliyepevuka kiakili na utimamu wa mwili unaenda kupanda usafiri wa umma(daladala au...
4 Reactions
42 Replies
893 Views
Mimi Nimepita zaidi ya miaka 60 nimeshazitumia hizo pesa tangu Enzi wa Baba wa Taifa Mwalim Nyerere kisha akaja Mzee Wa Ruksa Marehemu Mzee Mwinyi.
1 Reactions
17 Replies
357 Views
Unatumia mbinu gani ili hasira ziishe? 1. Unalia? 2. Unakaa kimya? 3. Unapigana? 4. Unamuomba Mungu 5. Unamcomfront na kumfokea alikuudhi? 6. Unasikiliza music? 7. Unatoka out? 8. Unaongea na Baby?
4 Reactions
69 Replies
2K Views
Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki...
8 Reactions
71 Replies
1K Views
Baada ya mgomo wa madaktari Tanzania ulioacha vifo vingi na kufanikisha maboresho mengi katika sekta ya Afya miaka kadhaa iliyopita Sasa na Walimu nao wamekuja na mgomo baridi usioonekana kwa...
13 Reactions
34 Replies
639 Views
Katika mazingira ya kisiasa, uwepo wa vyama vingi vya siasa ni ishara ya demokrasia na uhuru wa kisiasa. Hata hivyo, idadi kubwa ya vyama vya siasa inaweza kuleta changamoto za kiutendaji na...
1 Reactions
4 Replies
35 Views
Awamu ya 5 imejitahidi sana kujenga miundo mbinu ya uchumi kama Stiglers Gorge Hydro Electric Power, Standard Gauge Railway na barabara mbali mbali zinazounganisha mikoa. Kwa upande wa sekta...
13 Reactions
76 Replies
8K Views
Utalii sio lazima uende Serengeti Moja ya utalii ni kwenda mikoa ambayo hujawahi kufika unaweza ukajikuta unafurahia pia Kuna siku nilipanda basi tu nikasema ngoja nikaione Mtwara kama masihara...
5 Reactions
18 Replies
173 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,648
Posts
49,807,889
Back
Top Bottom