Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mimi nilitamaani mama afanikiwe na bado natamaani! Mimi ni wale tuliotolewa upinzani kwa 'lazma' na kuniunga CCM.. Sijui leo nina sura gani? Ila kwasababu sura ya kwanza ilikuwa kusema ukweli...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kylian Mbappe kapotea kujiunga na Madrid kwakuwa sioni nafasi yake ya kucheza na je ni kwa namna gani atavunja utawala wa Vini jr
3 Reactions
19 Replies
176 Views
Pipoooooooooooozi Moja kwa moja kwenye mada. Katika kipindi hiki ambacho Main stream nyingi na Online media zimeamua kuwa Tawi la CCM nafikiri ni wakati sahihi wa chadema sasa Munatakiwa kuwa...
3 Reactions
10 Replies
126 Views
Nimejaribu app mbili kote sijapata hata elf 5. Nina uhakika wa kulipa kesho kutwa tu kwahiyo hawatanisumbua(maana mtasema hilo)
3 Reactions
12 Replies
220 Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi-Sugu Moto Chini amekabidhi Madera 100 kwa Jumuiya ya Wanawake BAWACHA pamoja na Vitabu 50 Sugu ametoa taarifa ya makabidhiano Ukurasani X...
2 Reactions
5 Replies
56 Views
Kwa nyakati tofauti kumekuwa na Viongozi walionukuliwa wakisema "Nchi hii imechezewa sana, Nchi iligeuzwa Shamba la Bibi lakini wahusika hawatajwi. Wapo waliowahi kutoa kauli za Vitisho ikiwemo...
1 Reactions
10 Replies
69 Views
One blow only and there goes the terrorist
7 Reactions
58 Replies
970 Views
Hivi kwanini mkipata Madaraka na mnapokuwa mbele ya Camera huwa mnakuwa Majuha ( Fools ) sana na Kuboa hivi? === Alichokisema Nape Nnaye: “Lazima tujenge culture [utamaduni] ya kufanya kazi. Hii...
7 Reactions
30 Replies
548 Views
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla. Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina...
2 Reactions
9 Replies
566 Views
Wale wasafiri wenzangu tunatumiaga "SAI-BABA" ETHIOPIAN katika mihangaiko ya maisha huko duniani mtakubaliana na mimi jinsi pale Airport kunavyoboa kama una "Long Layover" yaani kumejaa kama...
28 Reactions
313 Replies
37K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,791
Posts
49,811,397
Back
Top Bottom