Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu nimechoka toka jana sijalala... Nahisi kuchanganyikiwa... Nahisi maluwe luwe . Sielewi kwanini haya yanatokea kwangu... Nimechoka sasa nimechoka. Kama mbwai iwe mbwai tuu...
8 Reactions
95 Replies
793 Views
Nawasalimu wote. Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU. Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni...
9 Reactions
183 Replies
3K Views
hebu tupe uzoefu, ili twende sawa zaidi. ulikiuka miiko gani ukapigwa ban JF au nini kilisababisha ukapigwa ban? mara ngapi umekumbana na changamoto hiyo na ni jukwaa gani hasa lilikusababisha...
9 Reactions
49 Replies
644 Views
Sijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
23 Reactions
57 Replies
731 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna wakati nilishuhudia kwa macho yangu Mwenyewe watu wakiacha na kusimamisha kazi ili wafuatilie mijadala ya Bunge ,nilishuhudia watu wakiwa vikundi vikundi vibanda...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Klabu ya Simba imeripotiwa kuwa kwenye mazungumzo na aliyewahi kuwa kocha wa Mamelodi Sundowns, Steve Komphela ambaye hivi sasa yupo jijini Dar Es Salaam Simba Sc ambayo imekuwa chini ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Naombeni msaada wa mimi mwenyewe : ni kwamba nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata division 2 ya 21 nataka kwenda chuo ila mzazi wangu ananilazimisha nifanyaje sasa ili niweze kwenda...
10 Reactions
77 Replies
1K Views
Madame President Samia Suluhu Hassan went to the Korea-Africa heads meeting,but is it really fair for African Presidents to be summoned like children by a single head of state?It should be noted...
2 Reactions
3 Replies
128 Views
Utalii sio lazima uende Serengeti Moja ya utalii ni kwenda mikoa ambayo hujawahi kufika unaweza ukajikuta unafurahia pia Kuna siku nilipanda basi tu nikasema ngoja nikaione Mtwara kama masihara...
3 Reactions
4 Replies
69 Views
Rehema Chalamila (Ray C) Mei 15, 1982, Iringa - Tanzania. Kabla ya kuingia kwenye Muziki, alikuwa Mtangazaji wa East Africa Radio, baadaye akahamia Clouds FM zote za Dar es Salaam. Alianza...
5 Reactions
42 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,637
Posts
49,807,630
Back
Top Bottom