Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari Mabibi na Mabwana. Naomba nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye kero, Kero hii inihusiana na usafiri wa umma kwa wakazi wa Buza ( kwa Lulenge hadi Kanisani). Hapo awali usafiri wa...
3 Reactions
22 Replies
318 Views
Waambieni huko Chang'ombe kiwandani Serengeti beer, sticker mpya za chupa za beer yenu hazipendezi. Sasa hivi chupa hiyo ya sticker ya njano utafikiri kifungashio sha togwa! Kiwanda cha...
11 Reactions
24 Replies
468 Views
Kwanza nianze kwa kumshukuru Rais Samia kwa kumpeleka Makonda Arusha! Baada ya kufika jijini Arusha Mh Paul Makonda ameanza rasmi kazi leo na ameongea na baadhi ya wana chi na madiwani...
25 Reactions
124 Replies
6K Views
Inatia hasira. Wana fedha kaeni mkijadiri iweje jero ya kiwe 10elf ya bongo. This is not right
2 Reactions
12 Replies
415 Views
Makonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake. Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote. Kitendo cha kuingia...
23 Reactions
72 Replies
4K Views
- Shambulizi la kigaidi mji wa Macomia mwezi jana. - Oparesheni ya SADC na jeshi la Rwanda. - Interest ya Kagame katika vita za wengine. Wa kwanza kufika hapa Msumbiji ni jeshi la Rwanda. Kwa...
42 Reactions
136 Replies
3K Views
Kuchangia viongozi ni utamaduni wetu, sasa tunamchangia Lissu gari, na hata Mwalimu Nyerere pia alichangiwa fedha na wananchi ili aende Umoja wa Mataifa kupigania uhuru wa Tanganyika. Kuchangia...
2 Reactions
3 Replies
38 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, X wangu nilibahatika kupata naye mtoto mmoja lakini tushaachana, mtoto anakaa na bibi yake, lakini huyu X wangu kila akituma ujumbe anataka nimjibu...
6 Reactions
15 Replies
956 Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
152 Reactions
13K Replies
4M Views
Habari wana jamii forums [emoji1366] Let’s chat for fun boys and girls ukiulizwa muda mda huu body count yako inasoma ngapi utakuwa na kumbukumbu boys au girls wangapi umelala nao mpka sasa? For...
11 Reactions
114 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,297
Posts
49,797,859
Back
Top Bottom