Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hizi PhD za mfululilizo zinanipa alarm juu ya rasilimali za Tanzania. India wametoa PhD majuzi tu wamepewa gati nambari 2. Sasa sijui JMT au DP ndio waliowapa tenda. Korea nao wameona mpenyo.
2 Reactions
10 Replies
11 Views
Inawezekana, kwa upande mmoja vitabu vitakatifu na mapokeo kama msingi mkuu wa mafundisho ya dini vimeibua maswali mengi kwa baadhi ya watu kuhusu Mungu. Na kwa upande mwingine, Ukana Mungu ambao...
10 Reactions
124 Replies
1K Views
Kulia sio suala la kike, ni suala la kibinadamu, ukiona yamekukuta na waona kabisa kooni unadukuduku na unataka kulia, tafuta mahali ulie. Kulia hakuondoi uanaume, yalio ya wanawake wamepewa...
2 Reactions
28 Replies
277 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nikiri wazi kuwa Tangia nimepata fahamu vyema mpaka hapa nilipofika sijawahi kushuhudia Tetemeko kali la Ardhi kama nililoshuhudia usiku huu wa manane. Ni Tetemeko...
13 Reactions
50 Replies
1K Views
Salaam, Shalom! Mh Mwanasheria msomi Tundu Lissu, ninafuatilia sana ziara zako nchini, Ni Kweli unafungua macho Watanzania juu ya yanayoendelea nchini, Kwa sasa, Nchi yetu inazo ndege za...
8 Reactions
124 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye hoja yangu Kipimo cha elimu ni uwezo wa kuwasilisha hoja kwa kuzingatia mtiririko wa wa ushahidi unaokubalika kwenye jumuiya ya wasomi duniani na kwa mpangilio sahihi. Maana...
11 Reactions
120 Replies
1K Views
IKIWA UNA MIAKA 35 NA ZAIDI NA HUONI KAMA WEWE NI MUHUSIKA KATIKA SHUGHULI ZA KIJAMII KAMA MISIBA, HARUSI NA MAENDELEO, JIPIGE KIFUANI MARA TATU Na Comrade Ally Maftah Ikiwa una kiwango cha...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
je! inawezekana vp mtu kuendelea kutumia wtsp na kupost stutus mf hta mpka sa 8usiku while lst seen yake inanionyesha ni sa2? hta ukimtxt labda sa 3usiku utakutna na jbu asubuhi na atakuambia...
4 Reactions
40 Replies
808 Views
Askofu Mwamakula amesema Waliohujumu na kuiba kura kwenye Uchaguzi mkuu wa 2020 hawatofautiani na wanaohujumu wenzao Katika Chaguzi Ndani ya Vyama Kama Chadema kitasahau machozi ya 2020 na...
0 Reactions
9 Replies
10 Views
Mnashindwa wapi kusoma saikolojia za watu.Yani kunapokuwa na matukio ya komunyo ya kwanza au kupaimara mnawakamua waumini michango hadi wanachukia dini. Halafu siku ya tukio la komunyo bado tena...
18 Reactions
84 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,707
Posts
49,784,160
Back
Top Bottom