Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanakumbi. BREAKING: 🇺🇸🇮🇱 Biden: "Baada ya diplomasia ya kina kufanywa na timu yangu, na mikutano na wanadiplomasia wa kigeni, Israel imetoa pendekezo jipya." Ramani ya njia ya usitishaji...
2 Reactions
50 Replies
891 Views
Ukweli unaendelea kudhihirika ya kwamba Mbinu ya uongozi anayotumia mkuu wa mkoa wa Arusha ndugu Makonda ndio the best way. Alizimewa na kupigwa majungu waliomfitini wanarudia kutenda mbinu zake...
4 Reactions
11 Replies
344 Views
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu anesema hatavumilia kuona Wafanyabiashara ndogo ndogo wanalipa Kodi huku kukiwa na matajiri kibao walioshindwa Kesi kwenye Mahakama za Kodi lakini hawajalipa Dr...
0 Reactions
3 Replies
6 Views
Muda mchache ujao, saa 4:00 Dortumd watamenyana na Real Madrid katika dimba la Wembley pale London. Ni fainal ya Uefa Champions League, karata yako unampa nani? Twende kazi…
2 Reactions
5 Replies
6 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu ameanza ziara jimboni Iramba na kushangaa kukosekana Huduma za Maji Lissu anasema Mbunge wa Iramba ni Waziri wa Fedha lakini Jimbo lake halina Maji...
7 Reactions
27 Replies
658 Views
Ndugu zangu wa Yanga kama nilivyoandika kwenye kichwa changu cha habari. Siku itakayopangwa na hao wahuni kwa lengo la kutoa hizo tuzo zao, msihudhurie. Maana itakuwa haileti mantiki. Mkifanya...
9 Reactions
37 Replies
823 Views
Wakuu nilikuwa naomba kujua kiundani juu ya kozi hii ya electrical and biomedical engineering. Je, unaposoma cozi hiyo utajishughulisha na ufundi wa vifaa vya tiba au na umeme kwa ujumla. Ahsanteni
2 Reactions
7 Replies
103 Views
The Satanic and Talmudic nature of Benjamin Netanyahu’s ideology in Israel is purely under Satanic forces, and Benjamin Netanyahu seems to have imbibed a Satanic ideology through the teachings of...
3 Reactions
63 Replies
759 Views
Tulionya Mapema sana kwamba Moto wa Chadema ukishawashwa hakuna wa kuuzima, na wala hatutakuwa na Mswalie Mtume, Elimu itatolewa , Makombora yatavurumishwa na Spana zotapigwa bila Huruma yoyote...
2 Reactions
17 Replies
140 Views
My people how's weekend? Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari. Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya...
34 Reactions
261 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,311
Posts
49,771,637
Back
Top Bottom