Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi. Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini...
17 Reactions
73 Replies
1K Views
Karibu kufatilia muendelezo wa wiki ya pili ya Mjadala wa Wazi kuhusu Upatikanaji wa Katiba Mpya Tanzania, ulioandaliwa na Chama cha Wanasheria Tanzania Bara (TLS) jijini Arusha. Kwa ambao...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Sina kazi nashinda na simu muda wote Nipo nipo tu sina muelekeo wowote Nimemaliza Chuo mwaka Jana Lakini mpaka sasa hata Senti Moja Sina
7 Reactions
22 Replies
251 Views
Gym trainers sipo poa yani.
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Achila mbali IDs au avatar yake... Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain...
13 Reactions
278 Replies
3K Views
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe hawataki ndani ya chama viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya sasa CHADEMA. Inasemekana kuwa Mbowe...
7 Reactions
138 Replies
3K Views
Wanakumbi. BREAKING: 🇺🇸🇮🇱 Biden: "Baada ya diplomasia ya kina kufanywa na timu yangu, na mikutano na wanadiplomasia wa kigeni, Israel imetoa pendekezo jipya." Ramani ya njia ya usitishaji...
1 Reactions
28 Replies
491 Views
Hakuna kitu kibaya kama mtu kujihujumu mwenyewe/self sabbotage Unataka kufanya jambo fulani lakini mwisho wa siku unajihujumu kwa mambo yaliyopita,kisa ulikuwa na bad back ground basi yanakufanya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
A
Hapa mtaani kuna mama mmoja anaitwa Mama Nancy amemuajiri mtoto ambaye kwa umri sina uhakika lakini nahisi ana umri wa miaka 9 au 10, ameajiriwa kama house girl. Kibaya zaidi Mama Nancy amekuwa...
19 Reactions
96 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,142
Posts
49,766,280
Back
Top Bottom