Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

mimi ni mwanamme mwenye miaka kamili elimu yangu inatambulika tanzania mchumba awe na sifa zifuatazo; 1 mpenda watu 2 above 18 yrs 3 moderate tall 4 elimu ni mengineyo 5 awe na life skills 6 awe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hbr wanajamvi kama kunamdada aliye zaliwa 08/02/1980 mpaka sasa hajapata mme basi anipm na shaka aondoe amempata ila baadaye ntahitaji uthibitisho asante siku njema
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Ukuzifuata hizi Sheria hutokaa ufeli in life 1: usifanye kosa la kuoa au kudate mwanamke asie na chanzo maalumu Cha kipato, Yani mwanamke Hana kazi wala ka kibarua Cha umpa miambili mia tatu za...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ebana wanajamvi inakuwaje? Nilikuwa natembea kuelekea kwenye Kituo cha basi upande wa pili. Nilipokuwa navuka zebra kuelekea kwenye hicho kituo kulikua na mzee mmoja kakaa anasubiri basi. Cha...
16 Reactions
87 Replies
913 Views
Yeye Try again kama amejiuzulu sawa hayo ni matakwa yake Binafsi, Ila Sisi wenye 51%ndio tutachagua Mwenyekiti mpya wa kufanya nae kazi hata huyo Mo mwenyewe hana maamuzi ya kuteua Mwenyekiti...
10 Reactions
30 Replies
847 Views
Habari wanajukwaa. In short niseme tu umaskin ni janga kwelikweli unavyoona CCM inaendelea kutawala leo ni kwa sababu ya umasikini tulionao, mimi huwa naamini mtu akiwa na Maisha sio ya kitajiri...
2 Reactions
13 Replies
181 Views
Ni hatari tupu! Ukifika Kibaha Maili Moja njia panda ya kwenda Ofisi za Mkuu wa Mkoa, utaona kuna bustani ya miche ya miti na maua mbalimbali, pembeni yake kuna boda boda, ukifika walipo bodaboda...
3 Reactions
39 Replies
505 Views
Nina 23yrs.natafuta mwanaume ambaye 2takuja kuwa mwili mmoja.Awe Mkristo thehebu lolote,asiwe na mke sipendi wizi na asiwe sharobaro kwani mm sio cster duu!.kwa maelezo zaidi nipm.
3 Reactions
54 Replies
6K Views
Jamani mwenzenu imenikuta mara nyingu sana toka niweke thread ya kutafuta mchumba, si mimi tuu hata rafiki yangu James wa JF kakutana nalo, unakuta umeweka hiyo thread then wanaume kibao wanakupm...
3 Reactions
182 Replies
36K Views
... 🚨 𝗡𝗜𝗧𝗔𝗦𝗔𝗝𝗜𝗟𝗜 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘𝗪𝗘 "Pesa za usajiri niko tayari kutoa mwenyewe kwa kushirikiana na wanachama na wapenzi wa Simba, kwa sasa natafuta Mkurugenzi wa ufundi ambaye atakuwa na jukumu la...
2 Reactions
7 Replies
308 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,647
Posts
49,862,685
Back
Top Bottom