Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kama Chura kiziwi hasikii cha kujiuliza maelezo ya kuanza kushindana kapataje. Je Chura kiziwi anasoma tu maelekeza na anapewa na nani? Kwanini chura kiziwi hataki katiba kama kweli anafanya vitu...
7 Reactions
6 Replies
161 Views
Wakuu kwema, kama mada inavyojieleza, hapa nipo njia panda nakosa la kufanya,naamin ntapata maoni kupitia nyinyi. Labda niwaeleze kisa na mkasa mpaka kufikia hatua ya kupandisha uzi usiku huu...
7 Reactions
37 Replies
1K Views
Kuna wimbi jipya na linapita kwa kasi sana. Ndani ya hilo wimbi yapo tunayoyajua lakini yapo ambayo hatuyajui ama tunayahisi, na wakati ukifika ndio tutajua kama tulikuwa hatujui. Audha kama...
2 Reactions
8 Replies
160 Views
Siku za karibuni,tutasikia Makamu wa Rais wa Malawi atazikwa. Ukizingatia mkoa wa Ruvuma umepakana na nchi ya Malawi,ninashauri Mkuu wa huo mkoa amwakilishe Rais kwenye maxishi hayo ili kupunguza...
4 Reactions
16 Replies
108 Views
Wakuu mnisamehe,ukweli NI kwamba Mimi NI mgumu Sana kuamini maneno ya watu hasa kuhusu uzushi Fulani. Kilichonileta hApa NI kuwa nilikuwa nabishana Sana na washkaji zangu kijiweni kuhusu wadada...
2 Reactions
12 Replies
107 Views
Ukuzifuata hizi Sheria hutokaa ufeli in life 1: Usifanye kosa la kuoa au kudate mwanamke asie na chanzo maalumu cha kipato. Yaani mwanamke hana kazi wala ka kibarua Cha umpa miambili mia tatu za...
11 Reactions
53 Replies
531 Views
Je wajua? Omar bin Laden, mtoto wa nne wa Osama bin Laden, ni msanii na mwandishi, na sanaa yake inaonyeshwa nchini Ufaransa, ambako anaishi.
1 Reactions
3 Replies
71 Views
TAIFA STAR'S IMEBEBWA NA YANGA Ubora huu wa timu yetu ya taifa umeletwa na Yanga, kwa sasa taifa Stars wachezaji wanacheza kwa kujiamini hususani mabeki, kujiamini kwa wachezaji wetu wa Yanga...
2 Reactions
7 Replies
173 Views
Nimekuwa mfuatiliaji mwezi mzima nimeona na mie nijiunge, rasmiii. Naombeni mnikaribisheee jamani.
11 Reactions
53 Replies
567 Views
YouTube blogger amekuwa anawauliza raia wa Nigeria swali,kwamba kama inatokea fursa ya kupewa Uraia wa kudumu wa Tanzania au Kenya,watapenda kuishi Nchi gani? Jibu la wengi ni kwamba Watachagua...
3 Reactions
204 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,698
Posts
49,863,617
Back
Top Bottom