Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali...
9 Reactions
70 Replies
2K Views
Tusanue apps zipi unatumia kwenye simu, Android OS au iOS Ambazo zinakurahishia kwenye nyanja tofauti. Tuambie na namna ya kuzipata. Mfano: Hii unaweza kuipata kwa kuidownload kutumia browser...
9 Reactions
39 Replies
1K Views
Zuchu hajajichubua, hajaweka kalio la plastic, hajachora tatoo, havuti shisha wala kunywa pombe Ukimpata kama yeye OA chap masta
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Leo, Taifa Stars Itakuwa dimba la Levy Mwanawasa ikisaka ushindi mbele ya timu ya Taifa ya Zambia Chipolopolo, mchezo kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 Mechi hii itapigwa saa 1:00 usiku 00...
6 Reactions
232 Replies
3K Views
My Take Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele. Tafuteni hoja nyingine 👇👇 ====== “TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina...
9 Reactions
104 Replies
3K Views
Mwanza/Dar. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linaendelea na uchunguzi juu ya tukio la kigogo mmoja wa juu ngazi ya mkoa wa kanda ya ziwa, kutuhumiwa kumlawiti mwanafunzi wa chuo kikuu jijini Mwanza...
8 Reactions
443 Replies
16K Views
Natoka kwa hasira baada ya kunikwaza na kwenda zangu nje au mtaani kidogo kutuliza munkari. Ile narudi tu nakutana na tego la haja la msambwanda basi makosa yanasahaulika au kusamehewa hapo hapo...
8 Reactions
26 Replies
613 Views
SHERIA YA MVUTO NA HISIA KATIKA KULETA JAWABU LINALOSTAHILI. Where concentration is, is where energy flows!" Mahali ambapo unawekeza mawazo au fikra zako ndiko nguvu hutiririkia Hii Ni Sheria ya...
4 Reactions
7 Replies
919 Views
Kuna baadhi ya Mawaziri wa Awamu ya Sita wamekuwa na utajiri mkubwa na wa ghafla usioendana na kipato chao. Hii inathibitishwa na maelezo ya Wabunge wenzao ambao hali zao ni ngumu kifedha kwa...
40 Reactions
148 Replies
6K Views
Habarini jamani, Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo Kwa sasa ni mke wa mtu...
3 Reactions
55 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,354
Posts
49,855,453
Back
Top Bottom