Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari nipo Dar es salaam,natafuta rafiki wa kike sichagui dini Wala kabila ila awe mwenye umri wa miaka 18-30 ili baadae awe mke wangu aliyetayari anitafute pm ntampa namba yangu ila awe mkweli.
2 Reactions
53 Replies
269 Views
Ukiona huyu bwana anaingilia mambo ujue kalipwa
4 Reactions
27 Replies
858 Views
Nimeandikq threads kama tatu za samia with concrete takwimu na data haswa lakini wanafuta. Hawataki kumsikia kabisa samia sijui kawafanyaje!! Nahisi kwa vile kuna uwekezqji kila mahali wakati...
1 Reactions
14 Replies
123 Views
Huyu Sheikh siku zote makalio ya wanawake ndo ajenda yake. Ameyabatiza majina mengi ya ajabu na mengine yakidhalilisha utu wa mwanamke. Lakini eti Leo ndo anatumika na UVCCM Kwa agenda kificho...
1 Reactions
4 Replies
90 Views
Katibu mkuu wa Kanisa la Methodist Tanzania Allen Sisi ameitaka Serikali kuufungia Mitandao wa X kwa Sababu unahamasisha mapenzi ya Jinsia Moja Source: Mwanahalisi Digital Aidha Uvccm nao...
0 Reactions
4 Replies
83 Views
Mimi ni kijana wenu mtanzania halisi ila kwa sasa nipo huki Malindi Kenya kujitafuta sasa kinachonileta kwenu ni hivi kuna mwanamke maana ni mwanamke ako na 35 years tulikutana kwa app inaitwa...
4 Reactions
12 Replies
83 Views
Habari karibu CHAMPION PAINT SHOP ni wauzaji wa rangi za nyumba, pia tuna mashine ya kuchanganya rangi mbalimbali Kwa kutumia kompyuta, BEI ZETU ni nafuu sana tunapatikana Mwenge-Lufungira Karibu...
1 Reactions
3 Replies
63 Views
Kwenye ule mgogoro wa Ziwa Nyasa ndo Malawi walitaka vita na Tanganyika/Tanzania? Aisee ngoja nikaushe tu. Ndege inatafutwa siku 2 hapo hapo Lilongwe? Bado mnaomba Msaada dunia nzima. Hapo hapo...
6 Reactions
30 Replies
768 Views
Naomba hilo swali langu Hapo juu lijibiwe bila mihemuko Ahsanteni 🐼
4 Reactions
12 Replies
90 Views
Kila mtu ana matamanio yake juu ya mtu au katika maisha, je! Ni aina gani ya mwanamke ambae unatamani kuwa nae lakini hujampata?
6 Reactions
234 Replies
12K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,325
Posts
49,854,224
Back
Top Bottom