Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu Wanajamvi, Ninawaletea mjadala wenye uzito wa kielimu na kifikra kuhusu maendeleo mapya katika teknolojia ya uzazi wa mpango kwa wanaume. Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu mjadala...
3 Reactions
82 Replies
691 Views
Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka? Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CDM, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais...
3 Reactions
25 Replies
180 Views
Nimeanzisha huu uzi kutokana na hali ya ubachelor nayoipitia, sometimes mambo yananyooka ila wakati mwingine yanakua nisivyotarajia mabachelor mnakaribishwa tupeane experience za maisha ya ubachelor
11 Reactions
201 Replies
3K Views
Na mara kwa mara ninapoziona Angani huwa nakuwa na Hofu kwani nasikia nyingi ni za zamani hazifanyiwi Service. Pona pona yake ni Mganga wake Hatari na Mizimu ya Kabila moja lililoamua Kumlinda...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mimi ni Mkristu dhehebu la RC na nililelewa kwenye familia yenye kufuata mafundisho ya RC na nimebatizwa,kupata komunyo ya kwanza hadi kipaimara na kufunga ndoa ya kikatoliki. Lililonileta ni...
27 Reactions
99 Replies
1K Views
Profesa Juma Athuman Kapuya amejitokeza na kuwakemea wote wanaomchafua kwa kumhusisha na Taaisi ya Athuman Kapuya ambayo ilifungiwa na serikali kwa kuhusika na kashfa ya ushoga. Kapuya amesema...
3 Reactions
25 Replies
909 Views
Kino Yves, Ni mfaransa anaezunguka nchi mbali mbali, kwa Adrica alianzia Misri, Sudani, Ethiopia, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na sasa yupo kwetu kaelezea vizuri historia ya Tanzania mwanzoni...
0 Reactions
16 Replies
408 Views
Mwenezi wa CCM Dr Makalla amesema Tundu Lisu anapohutubia Kwamba Rais Samia amegawa pikipiki nchi nzima anaisaidia CCM kueleweka kwa wananchi Uimara wake Rais Samia ni Mwenyekiti wa CCM...
4 Reactions
45 Replies
2K Views
Mpaka muda huu inatafutwa haijulikani ilipo na muda wowote Rais wa Malawi anaenda Kuzungumza na Wamalawi. --- Ajali ya ndege Malawi, makamu wa rais Saulos Chilima na maofisa 9 wasakwa tangu saa 3...
7 Reactions
99 Replies
3K Views
Yes!, nyinyi ni viumbe wenye roho ngumu na ujasiri mwingi sana. Tumeonana sikumoja, tukapeana namba, tunapiga stori mwezi mzima kwenye simu tu, hunijui kiundani namimi sikujui, tunayajenga alafu...
11 Reactions
115 Replies
6K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,982
Posts
49,846,976
Back
Top Bottom