Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

To the one who makes every day sweeter than the last.... The most amazing, funny, and sometimes infuriating person I know... You're not just my love, you're my best friend, my confidant, and my...
3 Reactions
8 Replies
13 Views
Ujue siwaelewi. Nashindwa kuelewa mpaka sasa huyo Mungu anayepata sifa kede kede katika hivyo vitabu vyenu Biblia na Quran mpaka sasa hizo sifa zake ameshindwa kuzionesha kwa wafuasi wake...
0 Reactions
24 Replies
122 Views
Peace, Itakushangaza lakini ndio ukweli, tupo katika zama za upendeleo na "kuinuliwa" kwa wanawake na fursa kede kede pasina shaka mimi na wewe tulitegemea ustawi wa wanamakae kiuchumi, kiroho...
39 Reactions
140 Replies
2K Views
Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama. Kipande...
8 Reactions
45 Replies
1K Views
Babangu ana miaka 59, lakini wazazi wake wote wametangulia mbele za haki. Je, ni yatima?
2 Reactions
11 Replies
159 Views
Aliewahi kutumia Samsung a15 au anaeijua utendaji kazi wake anipe muongozo nataka niinunue, masuala ya camera siangalii sana Mimi naangalia speed na isiwe inaganda au kupata moto Simu inaonekana...
3 Reactions
30 Replies
539 Views
Ni muhimu sana kua karibu na mwenzi wako mkizungumza na kubadilishana mawazo, kwa karibu sana tena kwa kujiamini sana. Ni muhimu sana muonekano wenu, uwe wa kupendeza na kuvutia ninyi wenyewe na...
2 Reactions
4 Replies
58 Views
Muda huu kuna channel inaonyesha nyani katika moja ya tv stations hapa east afrika lakini pia kuna kikao cha wanasiasa wala nchi aka bunge kinaendelea. Kwa utashi wangu naangalia nyani kuliko bunge.
3 Reactions
5 Replies
68 Views
Mtoto wangu ana miezi Saba juzi mama yake amenambia hajawahi kumuona amesimamisha uume, Ilinichanganya sana akili ilibidi nijipe muda nikakaa naye kama saa mbili hivi asubuhi kuanzia Saa 10 usiku...
19 Reactions
110 Replies
2K Views
https://www.pc.go.tz/ Shilole ameonekana akitangaza hospitali hiyo hapo kwenye picha na kusisitiza wagonjwa waende na kwamba ni hospitali Bora. Kimaadili si sawa, ni kama hospitai hiyo inataka...
1 Reactions
25 Replies
567 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,146
Posts
49,738,871
Back
Top Bottom