Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanawake punguzeni roho mbaya na kijicho husda, unakuta mkaka kamuelewa rafiki yako anaomba contanct zake unaanza uchawi wako. Mwenzio pisi kali mkaka anataka kujiweka. Wewe sasa na bichwa lako...
10 Reactions
31 Replies
580 Views
Kampuni la Kimarekani Apple, maarufu kwa kuuza bidhaa za electronics na accessories zake, wanauza ivyo vitu bei ghali sana. Inawezekana ikawa ni value for money, ila kuna baadhi ya vitu ni wazi...
58 Reactions
213 Replies
5K Views
Wakuu habari? Mchepuko wangu alinipa wazo moja la biashara, na katika kulitathmini likanishawishi na kunipa matumaini, kwa sababu kama nitalitekeleza kwa ufasaha, linaweza kutengeneza matawi hapa...
6 Reactions
64 Replies
527 Views
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amekabidhiwa jogoo ikiwa ni ishara ya kumpongeza kwa juhudi kubwa za urejeshaji wa mawasiliano ya Barabara katika eneo la Tingi – Kipatimo na Barabara Kuu...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Azam kutoa Milioni 50 kila mwezi kwa kila timu ya ligi kuu, hadi sasa umeona mabadiliko yapi kwenye ushindani wa ligi yetu? Ewe mdau wa soka la Tanzania, umeona mabadiliko?
3 Reactions
30 Replies
757 Views
BONG FLAVA YA KUIMBA TOFAUTI NA RAP 20: Ali Kiba - Mwana 19: Diamond - Mbagala 18: Dully Sykes - Dhahabu 17: JI - Kidato Kimoja 16: 2 Berries - Na Wewe Tu 15: Dully Sykes - Dhahabu 14: Z...
0 Reactions
22 Replies
113 Views
Wakuu habari za mda huu, naomba kufahamu TCAA mtu wa Diploma of aviation aweza kulipwa kiasi gani na jinsi wanavyofanya kazi, maana nimeona nafasi sehemu, ASANTENI
0 Reactions
1 Replies
20 Views
Habari za asubuhi wakuu,..? Aisee ninaomba msaada mwenye kufahamu wapi nitapata viroba vya kilo mia, mia hamsin, vyakubebea mahindi, mchele, nk. Ninahitaji pisi nyingi, kuanzia elfu kumi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
https://www.pc.go.tz/ Shilole ameonekana akitangaza hospitali hiyo hapo kwenye picha na kusisitiza wagonjwa waende na kwamba ni hospitali Bora. Kimaadili si sawa, ni kama hospitai hiyo inataka...
1 Reactions
28 Replies
636 Views
ni mtumishi mwenye karama ya kipekee sana. na hata anaowabaini hawakuwajibika vyema kwenye wajibu na majukumu yao mbalimbali ipasavyo, wana kiri kuzembea au kukosea, wanajutia na hawajiskii...
1 Reactions
13 Replies
40 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,157
Posts
49,739,083
Back
Top Bottom