Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu , yani parachichi moja hapo ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6 Tuchangamkie fursa wazee utajiri upo ni kuamua tu #msaka_ajira
0 Reactions
19 Replies
120 Views
Mimi ni mgojwa wa vidonda vya tumbo. Kuna dawa asili natumia sasa hivi tumbo naweza kulialia halisumbui ila tatizo lililobaki kiungulia hasa nikitembea au nikilala kinakamata ila nikikaaa...
2 Reactions
18 Replies
146 Views
Wadau hamjamboni nyote? Uzi huu unakusudia kuwaenzi Waandishi wetu wakongwe na wanaoheshimika wa ndani na nje ya nchi. Hivyo unachotakiwa ni kuweka msemo/ nukuu moja, jina la Mwandishi , Kitabu...
13 Reactions
198 Replies
4K Views
Hatujagombana, hatujakosana, tunalala kitanda kimoja ni mke na mume wa 5 years sasa hivi, tunaweza kukaa 2 months hatujatenda tendo la ndoa, mwenzangu wakati mwingine anapataga wet dreams...
2 Reactions
96 Replies
15K Views
Linajifanya taifa lenye nguvu kumbe hamna kitu, Miezi 9 ya vita sasa wameshindwa kung'amua mateka wako wapi...Miezi 9 wameokoa mateka wanne kwa maana hyo itawachukua miaka 22 kuwaokoa mateka...
2 Reactions
33 Replies
390 Views
Moja ya utamaduni wa ajabu tuliokopi ingawa sijui tumekopi wapi ni wa yule kijana anayetqrajia kuoa kuingia au kuwa na kipindi kwenye sendoff. Yaani watu wamekusanyika kumuaga binti yao na kumpa...
10 Reactions
42 Replies
753 Views
Wakristo wa Ulaya walitusamehe nusu ya deni la Taifa mwaka 2000 ila hivi sasa tunaelekea kuvunja rekodi ya kukopa kama vile nchi inaisha kesho,tukumbuke tuna watoto na wajukuu wataohitaji kuishi...
2 Reactions
6 Replies
7 Views
Siku ya tarehe 9 mwezi wa sita, mwaka 1979 Kamanda aliyeongoza Vita vya Uganda dhidi ya Iddi Amin alitamka kuikamata Ngome ya mwisho ya adui. Haikupita muda Amiri Jeshi Mkuu, Julius Kambarage...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Achila mbali IDs au avatar yake... Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain...
17 Reactions
557 Replies
8K Views
"Umeamkaje" kwa lugha yako unasemaje Mimi nasema "Muinuke zeze"
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,778
Posts
49,841,184
Back
Top Bottom