Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Lemme start by saying mapenzi shikamooo......After that, am looking for a broken girl just to gimme a company. I want someone to chat with, someone I can explain what happened to...
1 Reactions
11 Replies
95 Views
Peace, Itakushangaza lakini ndio ukweli, tupo katika zama za upendeleo na "kuinuliwa" kwa wanawake na fursa kede kede pasina shaka mimi na wewe tulitegemea ustawi wa wanamakae kiuchumi, kiroho...
32 Reactions
128 Replies
2K Views
kwa mara nyingine tena Hospitali yetu ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila imefanikiwa kupandikiza uloto kwa wagonjwa mbalimbali walio fikishwa hapo, jambo hilo ni hatua kubwa kwa taaluma ya udaktari...
1 Reactions
8 Replies
86 Views
Kesi za mirathi na kesi zote za umiliki wa ardhi na majengo zimepata suluhu baada ya Mh Jerry Silaa kuongeza kasi ya kukomesha wale wote wanaosababisha mtafaruko ndani ya jamii Mh raisi Samia...
0 Reactions
1 Replies
58 Views
Hello 👋 Kupitia ukurasa wa Instagram wa Rommy3D amethibitisha kuachana rasmi na Shilole baada ya video na picha zinazoendelea kusambaa mitandaoni zikimwonyesha Shilole akiwa na dogodogo mwingine...
13 Reactions
114 Replies
3K Views
BREAKING NEWS: Simba SC watashiriki Kombe la Shirikisho Msimu ujao baada ya kushika nafasi ya tatu kwenye Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Azam FC na Yanga SC watashiriki Klabu Bingwa Barani...
16 Reactions
71 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
152 Reactions
13K Replies
4M Views
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza. Ipo siku nitampatia huu ujumbe...
5 Reactions
23 Replies
379 Views
Ukurasa wa SIASA siku ya leo umejirudiarudia kwa POST za Makonda, Chadema na Kafulila bila kuunganishwa! Huu ni undumilakuwili.
1 Reactions
0 Replies
1 Views
Jamaa analipigania Taifa lake huku mkewe analiwa ovyo.DNA imeonyesha watoto wote siyo wa jamaa isipokuwa mwanamke kazaa na mchepuko ambaye ni baba mchungaji.
15 Reactions
111 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,858,088
Posts
49,737,898
Back
Top Bottom