Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mimi ni kijana miaka 26 nina tatzo la nguvu za kiume linanitesa sana mpaka nakosa raha, uume hausimami kabisa si asubuhi wala jioni yaani nashinda kuta nzima umelala hii kitu naogopa hata kuwa na...
8 Reactions
89 Replies
422 Views
Jakaya Kikwete alitumia miujiza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktari kiasi ambacho watu walikuwa wanapangiwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa fulani...
12 Reactions
63 Replies
893 Views
Mh Nape Nnauye Watanzania wako wana uelewa mkubwa sana kuhusiana na maswala yote ya faragha, ndio maana hakuna Kibandaumiza chochote kinachoonesha video za ngono na wala hakuna sehemu yeyote ya...
4 Reactions
20 Replies
365 Views
Pamoja na kukusanya mapato kila siku ya shs 500 kupanda kivuko, lakini kuna shilingi 200 kwa kila anayetumia huduma ya vyoo hapa ferry. Kitu kinachochefua ni huduma mbovu ikiwepo na ubovu wa...
1 Reactions
15 Replies
171 Views
Usiombe biashara ife au kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada ya kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na...
25 Reactions
56 Replies
1K Views
Niliwahi kuwa na binti mmoja mrembo kwelikweli toka visiwani kizimkazi. Siku ya kwanza nikakuta kikombe kaingia nacho chooni anapiga mswaki. Sijakaa sawa kachukua ndoo ya chooni kakingia maji...
16 Reactions
36 Replies
355 Views
Naona Teuzi za Leo kwenye mambo ya Mipango zimesheheni Wazee Mabalozi Wasomi wa Zamani siyo hawa wa Extended High school Sasa kwa Dunia hii ya Artificial intelligence sijui Upepo utawaendeaje...
11 Reactions
55 Replies
2K Views
Chukua hii nakupa; japo hatupangiani maisha kila mtu anajua jinsi anavyoyaendesha ila kiukweli life ni gumu ndugu zangu na mwaka huu huku mashambani hali sio hali hasa Kwa upande wa zao la...
8 Reactions
75 Replies
1K Views
Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Maimuna Ahmad Pathan amehoji juu ya mamlaka kutochukua hatua juu ya ujenzi wa Barabara ya Kibiti-Lindi akidai imejengwa katika kiwango cha chini na ilionesha...
5 Reactions
20 Replies
514 Views
Lilikuwa ni suala la muda tu na hatimaye unaweza kusema tumerudi nyuma au tumerudi kwenye maisha yetu ya kawaida au tuliyozoea. Daladala za kutokea Mbezi mpaka Mnazi Mmoja kupitia Manzese...
5 Reactions
18 Replies
428 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,660
Posts
49,752,155
Back
Top Bottom