Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naomben ushaur nimuoe au nimuache tu Nimepata mchumba mdogo tu miaka 19 katulia Hana mambo mengi na bado hamjui mwanaume yan bikra kabsa na yupo tayari kuolewa ni mtu wa kondoa ni mrembo sana...
13 Reactions
107 Replies
1K Views
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2012, Nilikuwa nikifanya field katika Kampuni flani ya Ujenzi,, Nikajenga urafiki na mtoto wa moja ya Wakurugenzi wa Kampuni (G), alikuwa akisoma Marekani.alikuja Dar kama...
12 Reactions
28 Replies
522 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na na chuki binafsi...
1 Reactions
33 Replies
108 Views
NUKUU “Nimepata taarifa kuwa kisiwa chetu cha Mafia kilichopo Tanganyika kinapigwa bei (kinauzwa). Naomba tuendelee kufuatilia na kupiga kelele,”… Dokta Willibrod Slaa...
12 Reactions
136 Replies
2K Views
Hii ni akaunti ya twitter ya mh. Lema. Anapata wapi ujasili wa kuwaita hawa wa mama wasagaji Tanzania Leaks @TanzaniaLeaks · Jun 7 BREAKING: Ni swala la aibu kubwa sana kwa Rais kutumia vibaya...
1 Reactions
7 Replies
337 Views
Kama vile wanaume wanaona mwanamke pisi kali atakua na wengi au wengi wanamtaka, hata wadada kumbe wanayo. Yani ukikutana na mdada ukisema "niko single" wanakataa wanakwambia " yani we ulivyo...
5 Reactions
46 Replies
339 Views
Jamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja. Napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga...
5 Reactions
80 Replies
834 Views
Habari za asubuhi wadau Kama kichwa cha habari kinavyo sema. Nina uhakika kila siku naota ndoto nikiwa usingizini, lakini cha ajabu ni kwamba nikiamka tu asubuhi sikumbuki ndoto hata moja. Ni...
6 Reactions
208 Replies
2K Views
Hupaswi kusubiria hadi ajue kuongea ndipo uanze kumfundisha. Unaweza kuanza kumfundisha tokea akiwa na umri wa siku moja. Miongoni mwa mambo ya kumzoesha mapema ni pamoja na: 1. Kunawa mikono...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kutokana na malezi ya kisasa na mifumo ya kisasa ya maisha ile kanuni ya mtii mwanaume wako kwa wanawake wa kisasa ni kitu ambacho hawakielewi kabisa wala kujua maana yake wakiwa katika umri wa...
33 Reactions
244 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,440
Posts
49,830,425
Back
Top Bottom