Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habali ya jumapili wanabodi Napenda kutoa hii taarifa kuhusu hospital ya private ya CHAULA Iko Songwe Vwawa. Ukimpelekea mgonjwa wanawapa majibu ya uongo Tena magonjwa makubwa ili mtishike haswaa...
3 Reactions
4 Replies
32 Views
Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika- Mo - "Time ya Ushindani (FCC) imeshatupa ruhusa, hivyo mchakato wa mabadiliko ya Simba umekamilika, tumepewa vipengele vichache vya kufanyia kazi kama...
16 Reactions
221 Replies
19K Views
Yaliyojiri kwenye mkutano ulliofanyika leo wa Wanachama Simba SC. 𝗪𝗮𝗷𝘂𝗺𝗯𝗲 𝘄𝗮𝗺𝗲𝗴𝗼𝗺𝗮 𝗸𝘂𝗷𝗶𝘂𝘇𝘂𝗹𝘂 : Wajumbe wote wa bodi upande wa Wanachama wa Simba SC wenye 51% ya hisa kwa kauli moja wamesema kuwa...
6 Reactions
37 Replies
965 Views
Story hii ya CPA CPA Issa Masoud ni miongoni mwa Wajumbe waliongea na Waandishi na kueleza kuwa kuna vitu wanapishana na Muwekezaji MO Dewji kwa sababu vinakiuka utaratibu na matakwa ya kikanuni...
7 Reactions
53 Replies
725 Views
Habari zenu wana Jamii Forums, hususani jukwaa hili la "ChitChat". Ni tumaini langu wote ni wazima. Huu uzi yawezekana ukawa mrefu kuusoma, ila naamini kuna mtu utamsaidia sana endapo atausoma...
8 Reactions
39 Replies
400 Views
Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa JPM, lakini kwa pamoja tukubali Rais JPM had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa...
1 Reactions
7 Replies
8 Views
Taarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali kutoka nchi za kiarabu ambazo hazijathibitishwa zinasema Mohammed Deif ([emoji1193]Hamas's chief of staff ) ameuawa katika operesheni maalum iliyofanywa n...
14 Reactions
85 Replies
1K Views
Hivi kwanini wanawake siku za ibada hasa jumapili, wanaifanya kama ni siku ya fasheni na kujionyesha kwenye kujipamba na mavazi tofauti na makusudi ya imani. Kuna wanawake bila nguo mpya anaona...
6 Reactions
14 Replies
96 Views
Wadau habarin kuna mwanamke nimempata kupitia mtandao ishu ni je ataniacha au maana bado hatujabond vyema wala kuonana ana kwa ana nipeni dawa nimvute asije pokonyoka
7 Reactions
33 Replies
306 Views
Taifa la Tanzania nakupenda nalipenda jeshi lake nawapenda wanausalama na wana Usalama wa Taifa letu teule Tanzania Tanganyika. Neno la Mungu lina sema mavuno yapo tayari mtoto anataka kujifungua...
2 Reactions
11 Replies
138 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,506
Posts
49,832,407
Back
Top Bottom