Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Moto unawaka SSC! Ni vita kubwa! Klabu ya Simba ipo katika kipindi kigumu cha vita inayozidi kukomaa kila uchwao baina ya Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya Simba Salim Abdallah Muhene Try...
47 Reactions
375 Replies
13K Views
Leo asubuhi Mwenyekiti wa nyumba 10 amekuja kwangu kutaka kuuniorodhesha kama nina kadi ya CCM. Mimi nikamuuliza nani kakutuma uorodheshe watu?. Unawaorodhesha kwa sababu gani?. Yeye kanijibu...
1 Reactions
4 Replies
5 Views
Karibu JSL COURIER kwa huduma bora ya kuhama na kuhamisha vitu kutoka mtaa A kwenda mtaa B na kutoka mkoa A kwenda mkoa B. Huduma zetu ni nzuri, nafuu na uaminifu ni mkubwa mno. Usisumbuke tena...
2 Reactions
85 Replies
2K Views
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao. Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule? Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee...
33 Reactions
132 Replies
6K Views
Habari za uhakika ni kwamba kocha wa zamani wa Simba maarufu Uchebe amechukuliwa kuinoa Singida Black Stars. Singida safari hii wanawekeza sana.
3 Reactions
50 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza TISS kitengo cha propaganda mumeweza cheza na kuamisha mawazo ya watanzania hongera sana kwa huo mkakati, ambao leo wote wanaenda upepo unakovuma, pumzika kwa amani...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Kuna rafiki yangu ana mtoto anasoma shule moja ya private yuko kidato cha tatu. Shule yenyewe ni boarding hivyo mtoto ameanza kusoma pale toka kidato cha kwanza na sasa yuko kidato cha tatu. Sasa...
1 Reactions
16 Replies
176 Views
Raisi Xi wa China alitoa vitisho kuhusiana na ziara ya bi Perosi nchini Taiwan. Wote tulisikia. Pamoja na vitisho vyote, Marekani wakapuuza, bi mkubwa akaingia Taiwan. Wote tuliona, mchana kweupe...
0 Reactions
9 Replies
19 Views
Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo. Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango...
3 Reactions
71 Replies
607 Views
Nimeshangaa kusikia Magoti ndiye alikuwa anamshauri Rais kuhusu siasa. Nikimuangalia ni kama ana umri wa miaka thelasini hivi, yaani mtoto tu, na ndio maana mwanzo nilidhani ni mhudumu au afisa wa...
8 Reactions
53 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,210
Posts
49,823,021
Back
Top Bottom