Kwa wanaoumia mioyo yao kuona Makonda anaupiga mwingi, sageni chupa kunyweni.
Makonda ni mtendaji. Siasa za uongo, unafiki kwake hizo hakuna. Siasa za kuabudu aliyemtua hakuna. Anajua JD yake...
Mkono mtupu haulambwi!
Naam, ndivyo ninavyoweza kulielezea hili.
Wikiendi iliyopita Rais alijumuika kwenye uzinduzi wa albam ya msanii wa kizazi kipya Harmonize akiwa kama mgeni rasmi pamoja na...
Job Summary
Tindwa medical and health service is local registered company dealing with providing Emergency Medical Services, Waste and Environmental Management, Occupation Health and safety both...
Kampuni la Kimarekani Apple, maarufu kwa kuuza bidhaa za electronics na accessories zake, wanauza ivyo vitu bei ghali sana.
Inawezekana ikawa ni value for money, ila kuna baadhi ya vitu ni wazi...
Kwa wapenzi wa TV, ushauri namba moja naweza kukupa, usinunue TV used. Never. Pambana na jikusanye ununue mpya.
Sasa unavyonunua TV dukani au unaangalia online unaangaliaga vigezo gani? Najua...
nimekua nikimpenda sana @_ephen sijui ndo nimekosea handle yake ?.
ila nimempenda sana... sana, siwezi kuelezea ni jinsi gani.
lakini pia nimekuja kugundua watu wengi pia wanampenda huyu Binti...
Natamani some days itokee timu nyingine pale nafasi ya 1 na ya 2 isiwepo SSC wala Yanga, tukifika hiyo hatua ni wazi kuwa ligi yetu itakuwa ni bora.
Timu kama Li SSC , sajili za mchongo, scouting...
Asiye na mwana aelekee jiwe, ni mwendo wa kikomando na kufyatua fyatua, mnaojificha nyuma ya watoto pole zenu, hawa ni Wayahudi (sio Wakristo mliozoea) wanapiga tu.
Shukrani sana IDF, malizeni hii...
Man UTD wako shirikisho, Chelsea wanajitafuta, vipi Simba kucheza shirikisho iwe kesi.
Cha msingi tukubaliane na matokeo lakini uongozi ukubali kuwajibika, nionavyo hata mwakani hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.