Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hakuna cha kuzuiwa ila ni mabadiliko ya aina ya mifuko. Nenda sokoni kanunuwe mboga, mihogo utapewa mfuko wa plastiki, chumvi zipo kwenye mifuko ya plastiki mi nadhani yalikuwa maamuzi ya...
1 Reactions
22 Replies
489 Views
Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo. Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango...
0 Reactions
7 Replies
39 Views
Nimeshangaa kusikia Magoti ndiye alikuwa anamshauri Rais kuhusu siasa. Nikimuangalia ni kama ana umri wa miaka thelasini hivi, yaani mtoto tu, na ndio maana mwanzo nilidhani ni mhudumu au afisa wa...
3 Reactions
27 Replies
435 Views
Shimo la choo likijaa naonaga kuna dawa zinatangazwa zinazozibua choo kikiziba, nazihitaji wakuu, napataje Mfano hapo chini.
0 Reactions
6 Replies
126 Views
Hapa Iringa kwa mfano huwezi kusikia kiongozi wa upinzani kazuiwa kufanya mkutano kwa Sababu Sisi ni wajanja na tumekomaa Kisiasa Kumbe ndio Sababu hata MO wa Makolo aliamua kuhamia Mjini DSM...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
=== David Kafulila, Mkurugenzi PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya, Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia...
3 Reactions
20 Replies
118 Views
Natumaini Mko Salama Wapendwa wa JF, Huu ni Mtazamo wangu Binafsi Lakini kwa Namna Moja Ni Uhalisia Kwa Baadhi ya watu. Sisemi Kuwa Maisha Yangu Yameharibika Lakini Yamebadilika Mabadiliko...
1 Reactions
17 Replies
374 Views
Habari wakuu!! Wote tunaamini ipo siku tatasimama mbele za Mungu kutoa hesabu ya yale tuliyoyafanya, mambo ambayo yatatupa uhalali wa kuingia mbinguni au kukataliwa na kutupwa kwenye ziwa la moto...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
  • Suggestion
DONDOO Mchango wa kila mwanachama kwa mwaka ni sh 45,000 au kwa siku ni sh 150. Ni mfumo rahisi kupitia (portal) za vikundi ambao hata ombaomba, wanafunzi watashiriki kuchangia wenyewe sh 150...
1 Reactions
2 Replies
82 Views
Wakuu msaada tutani tupeane some tricks. Nawezaje kuishi kama atheist?
0 Reactions
17 Replies
223 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,186
Posts
49,822,398
Back
Top Bottom