Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jana kwenye uzinduzi wa 7 Media ya baba levo niliona kumbe Mwijaku hana shida na Diamond wako poa kabisaa. Pointi yangu natamani sana Diamond amwambie mwijaku hata kama anamkubalia amtukane ili...
2 Reactions
17 Replies
552 Views
Elon Musk Kwa viwango hivyo vipya, thamani ya Elon Musk imepanda hadi dola bilioni 210.7, huku Bernard Arnault akishikilia nafasi ya pili akiwa na dola bilioni 201, na Jeff Bezos yuko katika...
2 Reactions
18 Replies
527 Views
Al Jazeera wametangaza hii habari haraka haraka sana hakuna coverage hata ya kuhoji watu ambao wanasema Ile ni massacre. African news nao Wala hawatangazi kuhusu Sudani. Taarifa yote iko Gaza...
7 Reactions
20 Replies
573 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
930 Reactions
1M Replies
42M Views
Naona mlingano wa kieneo unaenda kutimia!! Iran keshawapelekea jamaa mfumo wa kutungulia ndege hatari wa Sayad-2 soon tutaanza kushuhudia ndege za F-16 za Israel zikiangushwa kama mapera...
3 Reactions
7 Replies
282 Views
Kwamba Dola inapatika kwenye soko lisilo rasmi "black market" ila Kwa bei ghali zaidi ya bei halisi ya soko hivyo kulazimisha Waagizaji wa bidhaa hasa Mafuta kuanza kutumia euros. --- Importers...
0 Reactions
1 Replies
49 Views
Ukifuatilia kwa siku kadhaa tangu Rais aende Korea Kusini, Idara ya Mawasiliano ya Rais haikuwa ikifanya kazi yake ipasavyo hasa kwa taarifa muhimu za kuja Tanzania. Hata mkanganyiko uliotokea VOA...
4 Reactions
30 Replies
860 Views
=== Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania. Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo...
5 Reactions
22 Replies
89 Views
Nahitaji track suit pair 200 Umri 3-5 pair 140 Umri 6-8 pair 60 Na form six tshirt ( rangi yellow/dark blue) kwa rika na idadi hiyo hiyo hapo juu Kwa biashara call me 0687391885
3 Reactions
4 Replies
90 Views
Abbas Kinzasa ndilo jina halisi la Sindano Ndogo Inayoshona Makoti, lakini kutokana na kutotaka kujivimbisha kichwa akajiita asilimia ndogo ama asilimia ishirini kwa lugha ya Kimasai, mwite 20%...
2 Reactions
2 Replies
44 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,994
Posts
49,816,604
Back
Top Bottom