Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ebana wanajamvi inakuwaje? Yani tuko hapa kibarazani kijiweni cha umbea na masela tumenyong'onyea, kukasirika na kufadhaishwa kwa habari mbaya ya Elon Musk kurudi tena kuwa tajiri namba moja...
4 Reactions
9 Replies
23 Views
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao. Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule? Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee...
17 Reactions
63 Replies
2K Views
Nahitaji track suit pair 200 Umri 3-5 pair 140 Umri 6-8 pair 60 Kwa biashara call me 0687391885
3 Reactions
3 Replies
64 Views
Aisee! Wakati baadhi ya watanzania kila uchwao wakilalamika ugumu wa maisha mtaani wakati huo huo kuna baadhi ya watanzania kila uchwao wananunua magari ya kifahari na gharama kubwa mno. Kama wewe...
9 Reactions
55 Replies
1K Views
Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya? Ikulu imekuwa kichekesho...
37 Reactions
286 Replies
14K Views
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha...
9 Reactions
22 Replies
156 Views
Lugalo, wilayani Kilolo ndio eneo Jeshi la Ujerumani lilipotwangwa na Mtawala wa Wahehe Chifu Mkwawa Sasa kuteuliwa marehemu kuwa mkurugenzi kule kule Lugalo kwa Wanaume ni lazima tuangalie...
1 Reactions
3 Replies
66 Views
Pamoja na Israel mara kadhaa kujitutumua kwamba karibuni itatangaza vita na Hizbullah lakini vita hivyo kiuhalisia vimekuwa vikiendelea kwa miezi kadhaa sasa sambamba na vita vinavyoendelea Gaza...
3 Reactions
58 Replies
2K Views
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye: a) Uchumi b)...
20 Reactions
94 Replies
1K Views
Kuteua marehemu katika nafasi za serikalini ni ishara ya tatizo kubwa katika mchakato wa vetting au uhakiki wa viongozi wanaoteuliwa. Mchakato wa vetting ni muhimu kwa kuhakikisha kuwa wale...
1 Reactions
11 Replies
198 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,987
Posts
49,816,384
Back
Top Bottom