Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tukiwambia Israel hana alicho fanya zaidi ya kuonea watoto, wanawake, vizee, vijana wasio kuwa wanamgambo wa Hamasi mnasema oh Hamasi wanajificha kwenye nyumba za raia kama ni kweli maneno yenu...
1 Reactions
5 Replies
84 Views
Hivi kuna mtu nyuma anaangalia kama watu kama Songesha, Nivushe na watoa mikopo kwenye simu kama hizo hela wanazokopesha wanazo keshi? Kwa picha ya fasta fasta hawa jamaa ni zaidi ya benki kuu...
7 Reactions
54 Replies
1K Views
Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu. Amesema aliyeshika chupa ya damu...
14 Reactions
96 Replies
3K Views
Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya? Ikulu imekuwa kichekesho...
25 Reactions
175 Replies
8K Views
Katika hali inayoelekea kuwachanganya wamarekani Urusi imetuma manowari zake zaidi ya 8 katika pwani ya marekani nchini Cuba sababu ikitajwq ni maandalizi ya mazoezi ya pamoja. Hii ni mara ya...
0 Reactions
4 Replies
15 Views
Leo nimeona nishare hii story yangu. Ilikuwa hivi, nilivomaliza chuo nilibaki Dar nikipambana na life. Ndani ya muda kidogo nikapata job bana, mshahara si haba. You can imagine umetoka chuo kwa...
42 Reactions
40 Replies
897 Views
Nilikuwa namsikiliza kiongozi wa zamani wa Chadema akiwa Sibuka. Ambapo baada ya mahojiano mtangazaji alimtania kwa kumuuliza ni nani alishika chupa ya damu? Mashinji akajibu " siwezi kukumbuka ni...
2 Reactions
9 Replies
92 Views
👉HUKUZALIWA 👉KUJA 👉KUOKOLEWA 👉NA MTU Hakuna mtu yeyote anaye zaliwa(ku-exsist on this Earth) hapa Duniani ili aje kuokolewa ama kusaidiwa na mtu yeyote, Upo hapa Duniani ama tuite upo Katika huu...
3 Reactions
4 Replies
161 Views
Pamoja na Israel mara kadhaa kujitutumua kwamba karibuni itatangaza vita na Hizbullah lakini vita hivyo kiuhalisia vimekuwa vikiendelea kwa miezi kadhaa sasa sambamba na vita vinavyoendelea Gaza...
3 Reactions
52 Replies
1K Views
Rais wa mabunge ya Dunia hateuliwi bali anagombea kwenye Uchaguzi Kabisa Hivyo Nchi Yako ikitoa Rais wa mabunge ya Dunia ujue itafuatiliwa kwa kila jambo na wale wanaotamani kugombea uRais kwa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,867
Posts
49,813,502
Back
Top Bottom