Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hivi kuna mtu nyuma anaangalia kama watu kama Songesha, Nivushe na watoa mikopo kwenye simu kama hizo hela wanazokopesha wanazo keshi? Kwa picha ya fasta fasta hawa jamaa ni zaidi ya benki kuu...
9 Reactions
69 Replies
2K Views
Hii haikutokea jana wala juzi, huyu ni mwanamke mtu mzima tu naweza kusema hivyo, na mwenye akili timamu. Suala lililonileta ni kuwa ananitishia kunishtaki, na kaanza muda mrefu kidogo. Tulikuwa...
2 Reactions
12 Replies
637 Views
Jana jioni nikiwa nimereluxy nyumbani kwangu na ukizingatia wyf alikua katoka kdg,nikaanza kujiona mwepec yani ule wepec uxio wakawaida. Ghafla najiona naelea chumbani kwangu na vipepeo wa kike...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Wakuu naamini mu wazima na mnaendelea vizuri na TOZO. Mimi nimekutana sana na visa vya kupendwa na wake za watu kimasihara sihara mpaka nahisi ni pepo. Wadada single nawapata kwa nadra sana. Ila...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
PDF mmelishuhudia bibie Zuhra OUT. Sasa ni zamu ya Kikeke
1 Reactions
4 Replies
80 Views
Baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, muhimili pekee uliohakikisha uzi mwembamba uliokamata maisha ya Lissu usikatike ni Mbowe. Mbowe katoa hela mfukoni, kachangisha, goodwill (hii chadema njaa...
6 Reactions
37 Replies
1K Views
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa. Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe...
45 Reactions
119 Replies
3K Views
1940 May ulitokea mvutano mkubwa wa baraza la mawaziri nchini Uingereza baina ya pande mbili, upande mmoja ilikuwa wakiunga mkono kuongea amani na Germany na upande mmoja waliunga mkono kuendelea...
18 Reactions
28 Replies
997 Views
Ukifuatilia kwa siku kadhaa tangu Rais aende Korea Kusini, Idara ya Mawasiliano ya Rais haikuwa ikifanya kazi yake ipasavyo hasa kwa taarifa muhimu za kuja Tanzania. Hata mkanganyiko uliotokea VOA...
0 Reactions
8 Replies
207 Views
Inakuwaje wanaJamiiForums Kama ilivyo tamaduni yetu WanaJf kushea experience lengo ikiwa ni kuhamasishana kujenga familia, kupeana moyo n.k. Je, mtoto wako wa kwanza ulimpata kwa bahati mbaya au...
2 Reactions
20 Replies
195 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,884
Posts
49,813,839
Back
Top Bottom