Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu. Amesema aliyeshika chupa ya damu...
5 Reactions
29 Replies
400 Views
Maisha ni nyumba guys, na kabla ujenge lazima uwe na kiwanja. Hata usipoishi huko we jenga pangisha na uwe urithi kwa watoto baadaye. Ft. 60x50, kipo mbande, mwenyewe anashida anamgonjwa so...
1 Reactions
3 Replies
33 Views
Nimeamini bila shaka kwamba JPM alikuwa moto wa kuotea mbali. Wakimaliza kumtukana wanaenda kupanda ndege ,madaraja na ofisi alizozijenga yeye huko Dodoma. Taifa linaingiza pesa nyingi sana baada...
40 Reactions
86 Replies
6K Views
Huu hapa ni Mkutano wa hadhara kwenye Kijiji cha Kinyeto, Jimbo la Singida Kaskazini, uliofanyika leo saa 3 asubuhi .Ikumbukwe kwamba Lissu amekwisha toa angalizo la kufuatiliwa na kikundi cha...
10 Reactions
25 Replies
307 Views
Wasalaam, JF. Wakati Tundu AM Lissu akiamua kuasisi chama kipya cha siasa na kuifanya Tanzania kuwa na jumla ya vyama 20 vya siasa akianzia kukisimika chama hicho kipya mkoani kwake Singida kabla...
8 Reactions
72 Replies
2K Views
Mwanamke mmoja Raia wa Kenya ajulikanaye kwa Jina la Beatrice Mutuku asimuklia yaliyomkuta Nchini Saudi Arabia alipoenda kufanya kazi za ndani, Beatrice anadai kwenye nyumba hiyo aliyokuwa...
2 Reactions
8 Replies
235 Views
Hello! Rafiki yangu wa kazi, rafiki wa faida. Mimi na yeye sio marafiki kama nilivyoandika hapo juu ila tuko karibu kuliko hata hao mnaowaita marafiki. Hatuongei jambo lolote isipokuwa issue ya...
9 Reactions
18 Replies
633 Views
Fuatilieni hiyo interview hapo chini. Watangazaji walioshiriki kipindi hiki ni mfano wa waandishi wa habari wasiojiongeza. Na kwa bahati mbaya wamekusanyana wote wakiwa na MITIZAMO inayofanana...
2 Reactions
7 Replies
69 Views
Kwa muda mrefu sana toka wakati wa Chacha Wangwe, Zitto n.k CHADEMA kimekuwa chama rigid na kisichokubali kabisa kukosolewa hasa kupitia wafuasi wake ambao ukijaribu kukosoa utashambuliwa sana...
1 Reactions
4 Replies
71 Views
Ndege za kivita "fighter jets" na baadhi ya Helicopter za kijeshi zina seat special za kuokoa maisha ya rubani na crew member wengine ikitokea ndege imepata tatizo kubwa litakayopelekea kuanguka...
0 Reactions
2 Replies
3 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,755
Posts
49,810,762
Back
Top Bottom