Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Hossein Salami ametangaza Israel isubiri jibu baada ya mauaji ya mshauri wao wa kijeshi nchini Syria Saeed Abyar...
9 Reactions
52 Replies
2K Views
Wakuu salama? Nadhani mmeona mkeka wa mama, Zuhura Yunus kashushwa kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu mpaka kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)...
0 Reactions
7 Replies
8 Views
Huu hapa ni Mkutano wa hadhara kwenye Kijiji cha Kinyeto, Jimbo la Singida Kaskazini, uliofanyika leo saa 3 asubuhi .Ikumbukwe kwamba Lissu amekwisha toa angalizo la kufuatiliwa na kikundi cha...
13 Reactions
44 Replies
726 Views
Rais Samia afanya uteuzi na kufanya mabadiliko ya watendaji wa Serikali.
5 Reactions
29 Replies
585 Views
As a proud and patriotic Tanzanian citizen, I feel compelled to shed light on the current state of Police Mess Masaki in Dar es Salaam. This prime facility, located on the cliff of Coco Beach with...
0 Reactions
1 Replies
5 Views
Natafuta partner (Mwanamke). Vigezo: Mwembamba na White. Mkristo au Muislamu. Elimu yoyote. Awe anafanya kazi. Umri 23-27 Kabila lolote. Asiwe na mtoto. Upande wangu: Elimu/ degree Kazi/...
6 Reactions
17 Replies
318 Views
Achila mbali IDs au avatar yake... Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain...
17 Reactions
502 Replies
7K Views
Watumishi wa Mungu wanagombania pesa na mali, mchungaji anagombania ardhi ya wananchi. Mwingira wa Efatha anatia aibu watumishi. Hapo unakuta kuna wamama wanaamini Mwingira ndio mlezi wao wa...
3 Reactions
20 Replies
613 Views
Habari WanaJamiiForums Mimi ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi. Nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mimi hata nifanye nini...
4 Reactions
23 Replies
407 Views
Tumeendelea kufuatilia ili kujua sababu hasa ya Bwana Malissa kukamatwa tena leo na kwamba eti ana kesi mpya huko Kilimanjaro. Katika machache tuliyoyapata ni kuhusika kwa Adolf Mkenda...
4 Reactions
27 Replies
917 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,807
Posts
49,811,864
Back
Top Bottom