Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wasalaam, JF. Wakati Tundu AM Lissu akiamua kuasisi chama kipya cha siasa na kuifanya Tanzania kuwa na jumla ya vyama 20 vya siasa akianzia kukisimika chama hicho kipya mkoani kwake Singida kabla...
7 Reactions
56 Replies
1K Views
Kijana kuwa makini na hawa wazee, wazee ni watu wa bad sana, hasa kwa sisi wapambanaji ambao wapenzi wetu wapo mbali. Kizazi chetu hiki Love Distance ni ngumu sana na hazidimu sababu...
6 Reactions
232 Replies
2K Views
Hebu tupe uzoefu, ili twende sawa zaidi. Ulikiuka miiko gani ukapigwa ban JF au nini kilisababisha ukapigwa ban? Mara ngapi umekumbana na changamoto hiyo na ni jukwaa gani hasa lilikusababisha...
9 Reactions
75 Replies
816 Views
Ukitaka watoto wazuri wakike lazima ugharamie
3 Reactions
7 Replies
65 Views
2025 imekaribia, na ukiingia deep sana goli liko wazi . CHADEMA yetu hii haijawahi kuwa serious kushika dola . CCM yao baada ya miaka sitini bado imetubakiza kwenye ufukara ,tumekuwa omba omba...
0 Reactions
4 Replies
25 Views
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeahirisha rasmi michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 na badala yake itafanyika Januari 2026. Uamuzi huu umefanywa ili kuepusha mgongano...
2 Reactions
6 Replies
249 Views
Hello! Rafiki yangu wa kazi, rafiki wa faida. Mimi na yeye sio marafiki kama nilivyoandika hapo juu ila tuko karibu kuliko hata hao mnaowaita marafiki. Hatuongei jambo lolote isipokuwa issue ya...
6 Reactions
15 Replies
370 Views
Wakuu kuna taasisi moja ya umma nimeenda kupewa huduma nikapewa control namba nilipie ila nilichoambulia kila wakala anasema hii haiwezekani kulipa. Nikarudi kwa taasisi husika nikawapa cash...
5 Reactions
16 Replies
313 Views
Kwa mujibu wa Waziri anaeshugulikia mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar SMZ,Deni la Serikali limeongezeka kutoka Bilioni 155.8 mwaka 2020 Hadi zaidi ya Trilioni 1.1 mwaka 2024 kutokanaa...
0 Reactions
25 Replies
380 Views
TLS-Chama cha Mawakili wa Tanganyika , -Zanzibar wana Chakwao, kimekuwa kikipoteza mvuto na haiba mbele ya jamii kila uchao. Sababu zinazosemekana kupoteza mvuto kwa jamii: baada ya Uongozi wa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,695
Posts
49,809,276
Back
Top Bottom