Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

NAWAKUMBUSHA TU 1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali, Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili, Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali, Wakataka na kauli iwafae maishani. 2. Akatamka mgonjwa...
37 Reactions
67 Replies
3K Views
'Made in China 2025' ukipenda iite MIC25 Huu ni mpango kabambe wa serikali ya China wa miaka 10 (2015-2025). Ambapo China imepanga kufikia 2025 ijitegemee kabisa katika teknolojia za hali ya juu...
7 Reactions
33 Replies
268 Views
Habari wana JF, Naomba ushauri ni teknolojia gani naweza kutumia kwenye biashara yangu, hususani duka, ili kudhibiti uendeshaji na Maputo kiujumla, ikiwa nipo mbali na hiyo biashara siwezi...
1 Reactions
3 Replies
63 Views
Baada ya Kesi iliyomkabili yeye pamoja Meya Mstaafu Boniface Jackob kuahirishwa, hadi Tarehe 04/07/2024, Jeshi la Polisi limemkamata Bwana Malissa na kuanza Safari ya kuelekea Mkoani Kilimanjaro...
3 Reactions
18 Replies
513 Views
Wanasema kizuri kula ndugu yako.nimeona kuwaletea kuhusu benki ambazo unaweza usiwe unaishi USA au sio raia ila ukawa na account USA. ambazo ni: https://theitin.com https://app.mercury.com...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakuu, mimi nimechoka kupiga puli, nimechoka kulala peke yangu, nimechoka kuvaa nguo za kurudia, nimechoka kula kwenye mgahawa naogopa kulea watoto nikiwa mzee, mtu mwenye dada au ndugu wa kike...
5 Reactions
20 Replies
88 Views
Mnashindwa wapi kusoma saikolojia za watu.Yani kunapokuwa na matukio ya komunyo ya kwanza au kupaimara mnawakamua waumini michango hadi wanachukia dini. Halafu siku ya tukio la komunyo bado tena...
58 Reactions
180 Replies
5K Views
Mnamo mwezi Machi Houth walitangaza kumiliki kombora la Hypersonic na baada ya hapo ikawa kimya. Hata hivyo hapo juzi wamelizindua kombora hilo ambalo limepewa jina la Palestine likiwa limepakwa...
1 Reactions
4 Replies
5 Views
Hello! Rafiki yangu wa kazi, rafiki wa faida. Mimi na yeye sio marafiki kama nilivyoandika hapo juu ila tuko karibu kuliko hata hao mnaowaita marafiki. Hatuongei jambo lolote isipokuwa issue ya...
2 Reactions
6 Replies
121 Views
Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako 1:IPHONE-watu wanaoigiza maisha. kwa Mwanamke anaonekan...
25 Reactions
99 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,679
Posts
49,808,988
Back
Top Bottom