Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimekuwa nikifuatilia mtifuano wa kipropoganda kwenye mitandao kwa sasa mashambukizi ya CCM yako vizuri asilimia 60 mara Msigwa alibeba chupa ya damu ya Lissu,mara Lissu anaanzisha chama kipya na...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Kylian Mbappe kapotea kujiunga na Madrid kwakuwa sioni nafasi yake ya kucheza na je ni kwa namna gani atavunja utawala wa Vini jr
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kijana kuwa makini na hawa wazee, wazee ni watu wa bad sana, hasa kwa sisi wapambanaji ambao wapenzi wetu wapo mbali. Kizazi chetu hiki Love Distance ni ngumu sana na hazidimu sababu...
7 Reactions
245 Replies
2K Views
Aliyekuwa msanii wa hiphop, Mwana Fa kwenye mahojiano amesema kwamba kama sio mazishi yeye hawezi kumchangia yeyote harusi yake. "Mimi huwa sichangi harusi ya mtu, kama ni mazishi nitachanga kwa...
1 Reactions
16 Replies
190 Views
Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki...
9 Reactions
98 Replies
2K Views
Kumekua na Tabia za watu, Baadhi ya Maeneo hasa Miji mikubwa hapa Tanzania. Watu kufanya mazoezi Barabarani. Kundi la watu kufanya mazoezi ya kukimbia na kuleta msongamano wa magari, Kwa mtazamo...
1 Reactions
6 Replies
51 Views
Takribani watu 150 wanahofiwa kufariki katika mauaji kwenye kijiji kimoja katikati mwa Sudan, lawama zikielekezwa kwa Kikosi cha Wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF), kundi la wanamgambo...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu. Amesema aliyeshika chupa ya damu...
8 Reactions
58 Replies
1K Views
Tumeendelea kufuatilia ili kujua sababu hasa ya Bwana Malissa kukamatwa tena leo na kwamba eti ana kesi mpya huko Kilimanjaro. Katika machache tuliyoyapata ni kuhusika kwa Adolf Mkenda...
4 Reactions
13 Replies
369 Views
Mishangazi mingine inanyanyasa sana vibenteni, tena ukute shangazi la kanda ya kaskazini. Kwanza wa bahili kutoa pesa,na wakikupa ni kwa masimango na unaifanyia kazi kwelikweli. Imagine unyonye...
9 Reactions
10 Replies
135 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,773
Posts
49,811,021
Back
Top Bottom