Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mchungaji Gwajima alimwambia Lissu kuwa kama angeenda Dodoma basi angepigwa risasi. Hiyo ilikuwa ni siku moja kabla ya Lissu hajapigwa risasi na baada ya kukaidi na kwenda Dodoma kweli akapigwa...
13 Reactions
108 Replies
5K Views
Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi. Waziri Makamba...
4 Reactions
31 Replies
687 Views
Nchi nzima kama sio dunia nzima kwa sasa kilio kikubwa ni vijana kudai hawana "connections" za kupata malisho mazuri. Connections za ajira, biashara au hata ufadhili wa masomo. Mimi nimejitolea...
0 Reactions
3 Replies
17 Views
Tunaomba Serikali yetu sikivu iangalie hili janga la Vipodozi Haramu vinavyouzwa kama njugu hapa Matui na bwana moja anayejieta ni Agent wa Vipodozi kutoka Congo, Zambia na South Africa, huyu mtu...
0 Reactions
1 Replies
7 Views
Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu. Amesema aliyeshika chupa ya damu...
7 Reactions
50 Replies
843 Views
Mishangazi mingine inanyanyasa sana vibenteni, tena ukute shangazi la kanda ya kaskazini. Kwanza wa bahili kutoa pesa,na wakikupa ni kwa masimango na unaifanyia kazi kwelikweli. Imagine unyonye...
3 Reactions
4 Replies
5 Views
Huu hapa ni Mkutano wa hadhara kwenye Kijiji cha Kinyeto, Jimbo la Singida Kaskazini, uliofanyika leo saa 3 asubuhi .Ikumbukwe kwamba Lissu amekwisha toa angalizo la kufuatiliwa na kikundi cha...
11 Reactions
29 Replies
387 Views
Exim Bank ya Korea imeikopesha Serikali ya Tanzania zaidi ya Bilioni 400 Kwa Ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kisasa na Chuo Cha Mafunzo(Mfano wa Muhimbili-Mlonganzila) Zanzibar. ---...
8 Reactions
137 Replies
3K Views
Aliyekuwa msanii wa hiphop, Mwana Fa kwenye mahojiano amesema kwamba kama sio mazishi yeye hawezi kumchangia yeyote harusi yake. "Mimi huwa sichangi harusi ya mtu, kama ni mazishi nitachanga kwa...
0 Reactions
6 Replies
56 Views
Kwa siasa za Kenya Raial Odinga ndio kiongozi wa Chama chake tangu nyakati za Moi,akaia Kibakia, akaja Uhuru Kenyata na sasa William Ruto. Na hakuna tatizo kabisa make anasimamia idiea yake...
0 Reactions
1 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,767
Posts
49,810,904
Back
Top Bottom