Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hapa nazungumzia wafanya biashara sio wale wezi wa pesa za wananchi, changamoto inakuja kutafuta mtaji labda umepata milion 5-10, either umekopa au umepewa, changamoto ya kwanza ni kutafuta frame...
4 Reactions
12 Replies
156 Views
Special cases mtu aende form 6 Bado ni mdogo sana kiumri Hakuna uwezo wa kumlipia ada Kutaka kuwa mwalimu, Kwenda chuo kuna faida zifuatazo UWANJA MPANA WA KUPATA AJIRA - form 4>>chuo wana...
2 Reactions
6 Replies
93 Views
"If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
24 Reactions
85 Replies
1K Views
Rehema Chalamila (Ray C) Mei 15, 1982, Iringa - Tanzania. Kabla ya kuingia kwenye Muziki, alikuwa Mtangazaji wa East Africa Radio, baadaye akahamia Clouds FM zote za Dar es Salaam. Alianza...
0 Reactions
4 Replies
65 Views
Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amefanya mkutano kwa njia ya mtandao kutoka jijini Dodoma na Rais wa China Exim Bank, Bw. Ren Shengiun, ambapo wamejadili kuhusu ushirikiano kati ya...
0 Reactions
7 Replies
102 Views
Ukatili wa majumbani huwa hususani kwa wanawake ila pia sasa kuna tatizo la unyanyasaji kwa wanaume ni tatizo kubwa lakini mara nyingi halionekani, hasa kwa sababu ya jinsi wanavyokuwa wanaonekana...
4 Reactions
57 Replies
429 Views
Shirikisho la Kimataifa la Biashara ya Utalii wa Mikutano ICCA limezitaja Nchi 4 muhimu Kwa biashara ya Utalii wa Mikutano Barani Afrika ambapo Afrika Kusini inaongoza. Cha kushangaza Tanzania...
8 Reactions
64 Replies
887 Views
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe Martin Maranja. Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi CHADEMA ilivyosheheni wahuni...
21 Reactions
180 Replies
4K Views
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza kujenga Bandari ya Uvuvi ya Bagamoyo Kwa kushirikiana na Korea Kusini ambayo itagharimu Dola Milioni 156.5 ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 400 za...
3 Reactions
29 Replies
556 Views
Add bookmark #1 Habari ya jioni wakuu natafuta kazi ya bolt/ tax nipo kigamboni wakuu au kama Kuna mtu kapaki gari yake ndogo niwe namletea hesabu,,hata kama una ipaki weekend tusaidiane mm nipo...
0 Reactions
0 Replies
3 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,473
Posts
49,803,066
Back
Top Bottom