Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nawasalimu wote. Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU. Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni...
4 Reactions
103 Replies
1K Views
It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again Wakuu ana kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa...
3 Reactions
11 Replies
225 Views
Hivi karibuni nimekuwa nikipinga sana kushidwa kwa Raisi Samia kwenye kuleta katiba, sheria mbaya ya uchaguzi, uhusiano unao dorora kwa upinzani, mikataba ya sirisiri na kutokutumia nafasi vizuri...
1 Reactions
1 Replies
34 Views
Salamu wakuu. Mji huu Dar es salaam ni Mji mzuri sana katika mishe za hapa na pale. Mji huu haumkatai mtu kama ukiweka starehe mbele. Pisi za Mji huu hazina upendo kwa apeche alolo. Pisi za Mji...
7 Reactions
62 Replies
719 Views
Binafsi Sina uelewa wa sheria kabisa, ila naomba hizi mahakama za mwanzo ziondolewe au zifutwe kabisa kwani huku ndio kimbilio letu sisi masikini na wajinga na sisi tusio na akili, Kwa mfano...
0 Reactions
1 Replies
51 Views
Najiuliza maana ya upendo nini? Mpaka uwe na kingi ndio ushee? Au pesa kipindi michango ya sherehe? Au mzazi anayetamani mtoto uendelee? Ndio maana anakulea ile umlee Inasadikika kuwa upendo wa...
0 Reactions
11 Replies
87 Views
Inatia hasira. Wana fedha kaeni mkijadiri iweje jero ya kiwe 10elf ya bongo. This is not right
2 Reactions
13 Replies
428 Views
Waambieni huko Chang'ombe kiwandani Serengeti beer, sticker mpya za chupa za beer yenu hazipendezi. Sasa hivi chupa hiyo ya sticker ya njano utafikiri kifungashio sha togwa! Kiwanda cha...
11 Reactions
26 Replies
508 Views
Kwanza nianze kwa kumshukuru Rais Samia kwa kumpeleka Makonda Arusha! Baada ya kufika jijini Arusha Mh Paul Makonda ameanza rasmi kazi leo na ameongea na baadhi ya wana chi na madiwani...
25 Reactions
125 Replies
6K Views
Kuchangia viongozi ni utamaduni wetu, sasa tunamchangia Lissu gari, na hata Mwalimu Nyerere pia alichangiwa fedha na wananchi ili aende Umoja wa Mataifa kupigania uhuru wa Tanganyika. Kuchangia...
2 Reactions
4 Replies
74 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,297
Posts
49,797,880
Back
Top Bottom