Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Rushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha...
3 Reactions
51 Replies
375 Views
Ni dhahiri Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, anaifungua nchi kitaifa na kimataifa. Hivi sasa, Taifa lina pumzi freshi tena mpya ya kitofauti kabisa, fursa za kila aina zimefunguka kitaifa na...
6 Reactions
42 Replies
375 Views
- Shambulizi la kigaidi mji wa Macomia mwezi jana. - Oparesheni ya SADC na jeshi la Rwanda. - Interest ya Kagame katika vita za wengine. Wa kwanza kufika hapa Msumbiji ni jeshi la Rwanda. Kwa...
44 Reactions
142 Replies
4K Views
Ebana wanajamvi inakuwaje? Kiungo hatari mkabaji na mshambuliaji wa timu ya mpira iliyotwaa la Liga UEFA CL Real Madrid, raia wa ufaransa mwenye asili ya Angola Eduardo Camavinga huenda...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Haya ni mambo yana fikirisha kidogo, kipindi cha shujaa wa africa kipenzi cha wana Hayati Magufuli . Wananchi walikuwa wakifurika na kutoa malalamiko ya kero zao mbali mbali tofauti tofauti na...
1 Reactions
5 Replies
52 Views
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe M Maranja Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi Chadema ilivyosheheni wahuni Chonde...
7 Reactions
57 Replies
684 Views
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa. Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe...
11 Reactions
34 Replies
585 Views
Habari ninaomba msaada wa kisheria ili haki iweze kutendeka , nimetishiwa kudhalilishwa na Mtoa huduma wa Pesa X kama inavyooneka hapo chini.
9 Reactions
83 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wanaJamiiforums......Nina TV ya Samsung inch 43 android, inaniletea shida kiasi kwamba siwezi kuona chochote. TATIZO: Nikiiwasha inawaka lakini ndani ya sekunde kumi inazima...
3 Reactions
10 Replies
256 Views
Well Gamondi and Yanga part away. it's over. Yanga will have a new manager next season as tonight: Gamondi refused a long term contract Gamondi is still in contact with other big teams...
3 Reactions
20 Replies
575 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,322
Posts
49,798,640
Back
Top Bottom