Kweli nimeamini morogoro ni heart of Tanzania wala sio uongo morogoro ni njema kwa kila kitu Huu mkoa umebarikiwa aisee kiukweli kutoka moyoni Nakupenda morogoro japo mie si mtu wa morogoro kabisa...
katika muendelezo wa kutupa makombora, vijembe, hasira na kuonyesha namna CHADEMA ilivyojaa ubabaishaji na uhuni uhuni pamoja na kukosa viongozi wenye kuheshimika na kutoa muongozo.
Mchungaji...
Inasikitisha sana, toka bunge lianze hiki kikao cha 15 kila siku ni watoto wa shule private ndio wanatambulishwa kama wageni wa bunge. Leo katambulishwa mjukuu wa mbunge Mulamula.
Serikali ina...
Rushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha...
Spika wa bunge la jamhuri ya muungano JOB NDUGAI amedai kuwa kulingana na mwenendo wa deni la taifa kufikia trilion 70 ipo siku nchi ya Tanzania itapigwa mnada amenena maneno hayo baada ya kusema...
Habari wanajamvi
Naombeni msaada kuna mdada wa kazi nlikua naishi nae hapa nyumbani ametoroka usiku,na kaondoka na begi la ndugu yangu
Katokea ifakara kyelekea morogoro mjini
Ukiondoa baadhi ya haya majiji makubwa huko kwingineko ni hasara tupu na maumivu.
Huko si ajabu kukuta mtu kapanga nyumba nzima full contained akulipa elfu 50!
Huu si ufala
Kwann ujitoe kafara
Kuchangia viongozi ni utamaduni wetu, sasa tunamchangia Lissu gari, na hata Mwalimu Nyerere pia alichangiwa fedha na wananchi ili aende Umoja wa Mataifa kupigania uhuru wa Tanganyika.
Kuchangia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.